JIJI LA MWANZA LAJA JUU SANA TOA MAONI YAKO JE KWA MIAKA KUMI IJAYO ITAIIZIDI DAR
Monday, 27 July 2009
Saturday, 18 July 2009
Nimeibiwa na Bank naomba msaada
katabazi 9th July 2009, 11:52 AM
--------------------------------------------------------------------------------
Salaam wadau wanasheria,
Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Asanteni.
Katabazi
katabazi
Senior Member
Join Date: Sun Feb 2007
Posts: 91
Thanks: 9
Thanked 24 Times in 18 Posts
Show Printable Version
Email this Page
Views: 324
katabazi
View Public Profile
Send a private message to katabazi
Find More Posts by katabazi
#2 (permalink) 9th July 2009, 12:08 PM
Nziku
Nziku has no status.
JF Senior Expert Member Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 1,330
Thanks: 579
Thanked 837 Times in 455 Posts
Rep Power: 24
Credits: 2,467,195
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana mkuu nenda ofisi ya wakili (advocate) upate ushauri.
#3 (permalink) 9th July 2009, 12:19 PM
Homo Habilis
Homo Habilis has no status.
Member Join Date: Thu Jul 2009
Location: Urban town
Posts: 45
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 0
Credits: 56,260
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana ndg yangu,iyo bank imekufanyia mchezo mchafu katika hali ya kawaida hakuna kitu kama hicho yaani hata wasitie mashaka japo kiduchu.! itakuwa hao Teller wamecheza faulo na huyo mwizi a siganature account siku zote inajieleza kama ni ya mtu mmoja,waawili au kampuni anu namna gani lazima details zionekane,mi ninahisi hali itakuwa mbaya hapo mbeleni na hii yote vijana wameingia kwa wingi sana kwenye taasisi za kibenki halafu wanataka kupata maisha mazuri mapema sana hivyo hii michezo itaendelea kila kukicha kama hatua sahihi hazitachukuliwa mapema. Suala lako linatatulika lakini inabidi uwapush sana hao jamaa wa Benki manake utandaji wao ni taratibu na mashaka matupu.
__________________
" When good and bad deeds are known,the reward or punishment is in your hand "
#4 (permalink) 9th July 2009, 01:00 PM
Mnhenwa Ndege
Mnhenwa Ndege has no status.
Senior Member Join Date: Wed Dec 2007
Posts: 221
Thanks: 11
Thanked 33 Times in 29 Posts
Rep Power: 22
Credits: 1,050,190
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Kwa scenario kama hiyo, kesi inakupendelea wewe. Ila ni hivi ulipogundua kuwa cheki imeibiwa iliripoti benki, ni jukumu lako kama mteja wa benki kulinda vyombo vya fedha kama cheti ipasavyo ( yani pia kwa upande wako kuna lapse). Kwa upande wa Benki yao walikuwa wazembe, iweje wakupe overdraft bila ruhusa yako kwa kawaida kama pesa haitoshi wangeirudisha cheki tu. Au pengine kuna informal arrangement kama hiyo huwa mara nyengine una issue cheki ikiwa pesa hazitoshi kisha wanakupigia simu ukamilishe ilikujenga heshima yako ya kifedha?
Benki wanaweza kujenga hoja zifuatazo;
1. ulipoteza cheki kisha hukutoa taarifa.
2. Pengine ulicheza mwenyewe ukapanga na mtu utoe fedha kwenye akaunti ambayo fedha hazitoshi uangalie nini kitakachotokea kisha ulalamike.
3. Pengine ni wafanyikazi wako wa karibu wamecheza mchezo huwo au ndugu zako.
4. Pengine huwa kuna informal arrangement ya Temparary overdraft benki hiyo wanakupa pindi pale unapopungukiwa wakati inward cheques zako zimekuja, the uka-take advantage ya situation.
Hoja zako nazo.
1. Iweje walipe wakati hela hazitoshi kwenye akaunti yako.
2. A forged signature cannot effect a payment and the bank should be held liable for its action. (this is your very most strong point).
3. Kwanini hawakuirudisha cheki wakati hela hazitoshi? ( "refer to drawer").
4. Mbona ni rahisi kumshika mwizi maana alifungua akaunti yake katika benki aliyo-deposit hiyo cheki feki. Na lazima alipofungua akaunti alitoa picha na kitambulisho pamoja referees wawili. lazima kuna details zake kwenye benki ya conman huyo.
All in all in my perspective wewe kesi utashinda, just confidently go to a lawyer. Kisha kitu chengine muhimu; usiongee na benki yako kwa mdogo waandikie barua uwaeleze management kuhusu tatizo kisha uwatake wakujibu kwa maandishi msimamo wao. Hapo watakuogopa wanaweza kuchukua hatua zakukulipa nje ya mahakama maana uzembe mwingi ni wa kwao.
--------------------------------------------------------------------------------
Last edited by Mnhenwa Ndege; 9th July 2009 at 04:57 PM..
The Following User Says Thank You to Mnhenwa Ndege For This Useful Post:
Mubii (10th July 2009)
#5 (permalink) 9th July 2009, 02:32 PM
Exaud Minja
Exaud Minja has no status.
Member Join Date: Fri Mar 2009
Location: Morogoro
Posts: 15
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 0
Credits: 43,530
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Pole sana ndugu yangu. Ni rahisi sana kumjua mwizi kama alidipoziti hiyo hela kwasababu all records bank yanazo, labda kama ni wenyewe bank yamekuchezea halafu wanaficha. Watu wameweka mihela ulaya na tukapata details zote hapa bongo si ndio hakuna siri kabisa.
Kwanza ni bank gani hiyo tuiogope kama ukoma. Bank ziko nyingi siku hizi tusichezewe na bank zinazofanya uzembe wa wizi wakizamani kabisa.
katabazi 9th July 2009, 11:52 AM
--------------------------------------------------------------------------------
Salaam wadau wanasheria,
Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Asanteni.
Katabazi
katabazi
Senior Member
Join Date: Sun Feb 2007
Posts: 91
Thanks: 9
Thanked 24 Times in 18 Posts
Show Printable Version
Email this Page
Views: 324
katabazi
View Public Profile
Send a private message to katabazi
Find More Posts by katabazi
#2 (permalink) 9th July 2009, 12:08 PM
Nziku
Nziku has no status.
JF Senior Expert Member Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 1,330
Thanks: 579
Thanked 837 Times in 455 Posts
Rep Power: 24
Credits: 2,467,195
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana mkuu nenda ofisi ya wakili (advocate) upate ushauri.
#3 (permalink) 9th July 2009, 12:19 PM
Homo Habilis
Homo Habilis has no status.
Member Join Date: Thu Jul 2009
Location: Urban town
Posts: 45
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 0
Credits: 56,260
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana ndg yangu,iyo bank imekufanyia mchezo mchafu katika hali ya kawaida hakuna kitu kama hicho yaani hata wasitie mashaka japo kiduchu.! itakuwa hao Teller wamecheza faulo na huyo mwizi a siganature account siku zote inajieleza kama ni ya mtu mmoja,waawili au kampuni anu namna gani lazima details zionekane,mi ninahisi hali itakuwa mbaya hapo mbeleni na hii yote vijana wameingia kwa wingi sana kwenye taasisi za kibenki halafu wanataka kupata maisha mazuri mapema sana hivyo hii michezo itaendelea kila kukicha kama hatua sahihi hazitachukuliwa mapema. Suala lako linatatulika lakini inabidi uwapush sana hao jamaa wa Benki manake utandaji wao ni taratibu na mashaka matupu.
__________________
" When good and bad deeds are known,the reward or punishment is in your hand "
#4 (permalink) 9th July 2009, 01:00 PM
Mnhenwa Ndege
Mnhenwa Ndege has no status.
Senior Member Join Date: Wed Dec 2007
Posts: 221
Thanks: 11
Thanked 33 Times in 29 Posts
Rep Power: 22
Credits: 1,050,190
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Kwa scenario kama hiyo, kesi inakupendelea wewe. Ila ni hivi ulipogundua kuwa cheki imeibiwa iliripoti benki, ni jukumu lako kama mteja wa benki kulinda vyombo vya fedha kama cheti ipasavyo ( yani pia kwa upande wako kuna lapse). Kwa upande wa Benki yao walikuwa wazembe, iweje wakupe overdraft bila ruhusa yako kwa kawaida kama pesa haitoshi wangeirudisha cheki tu. Au pengine kuna informal arrangement kama hiyo huwa mara nyengine una issue cheki ikiwa pesa hazitoshi kisha wanakupigia simu ukamilishe ilikujenga heshima yako ya kifedha?
Benki wanaweza kujenga hoja zifuatazo;
1. ulipoteza cheki kisha hukutoa taarifa.
2. Pengine ulicheza mwenyewe ukapanga na mtu utoe fedha kwenye akaunti ambayo fedha hazitoshi uangalie nini kitakachotokea kisha ulalamike.
3. Pengine ni wafanyikazi wako wa karibu wamecheza mchezo huwo au ndugu zako.
4. Pengine huwa kuna informal arrangement ya Temparary overdraft benki hiyo wanakupa pindi pale unapopungukiwa wakati inward cheques zako zimekuja, the uka-take advantage ya situation.
Hoja zako nazo.
1. Iweje walipe wakati hela hazitoshi kwenye akaunti yako.
2. A forged signature cannot effect a payment and the bank should be held liable for its action. (this is your very most strong point).
3. Kwanini hawakuirudisha cheki wakati hela hazitoshi? ( "refer to drawer").
4. Mbona ni rahisi kumshika mwizi maana alifungua akaunti yake katika benki aliyo-deposit hiyo cheki feki. Na lazima alipofungua akaunti alitoa picha na kitambulisho pamoja referees wawili. lazima kuna details zake kwenye benki ya conman huyo.
All in all in my perspective wewe kesi utashinda, just confidently go to a lawyer. Kisha kitu chengine muhimu; usiongee na benki yako kwa mdogo waandikie barua uwaeleze management kuhusu tatizo kisha uwatake wakujibu kwa maandishi msimamo wao. Hapo watakuogopa wanaweza kuchukua hatua zakukulipa nje ya mahakama maana uzembe mwingi ni wa kwao.
--------------------------------------------------------------------------------
Last edited by Mnhenwa Ndege; 9th July 2009 at 04:57 PM..
The Following User Says Thank You to Mnhenwa Ndege For This Useful Post:
Mubii (10th July 2009)
#5 (permalink) 9th July 2009, 02:32 PM
Exaud Minja
Exaud Minja has no status.
Member Join Date: Fri Mar 2009
Location: Morogoro
Posts: 15
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 0
Credits: 43,530
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Pole sana ndugu yangu. Ni rahisi sana kumjua mwizi kama alidipoziti hiyo hela kwasababu all records bank yanazo, labda kama ni wenyewe bank yamekuchezea halafu wanaficha. Watu wameweka mihela ulaya na tukapata details zote hapa bongo si ndio hakuna siri kabisa.
Kwanza ni bank gani hiyo tuiogope kama ukoma. Bank ziko nyingi siku hizi tusichezewe na bank zinazofanya uzembe wa wizi wakizamani kabisa.
Subscribe to:
Posts (Atom)