
Sunday, 4 April 2010
Tuesday, 9 February 2010
DEAR VISITORS WELCOME TO THE SONG OF TODAY
(Rihanna)
Feeling it coming in the air,
hear the screams from everywhere,
I’m addicted to thrill,
Its a dangerous love affair,
Can’t be scared when it goes down,
got a problem tell me now,
Only thing thats on my mind is who gon run this town tonight,
who gon run this town tonite,
We gon run this town!
Wassup
Wassup
(Jay-Z)
We are,
yeah I said it we are,
this is Roc Nation,
Pledge your allegiance,
get your batiste on,
all black everything,
black cards, blacks cars,
all black everything,
and that girls a blackbirds riding with their dillingers,
i get more in depp
if you boys really real enough
This is la Familia, I’ll explain later,
but for now let me get back to this paper,
I’m a couple bands down,
and im tryin get back,
I gave doug a grip and lost a flip for five stacks,
me im talking 5 comma, 6 zero’s, dot zero’s, jigga
back to running circles round n-ggas
now we squared up, Hold uuuup
(Rihanna – Chorus)
Life’s a game and but its not fair,
I break the rules so I don’t care,
So i keep doing my own thing,
walking tall against the rain,
victory’s within the mile,
almost there don’t give up now,
only thing thats on my mind is who’s gon run this town tonight,
heeeeey, heeeey, heeeey
who’s gon run this town tonite,
[Jay-Z]
We are,
Yeah I said it we are,
you can call me Ceasar,
in a dark ceasar,
please follow the leader,
So Eric B we are,
Microphone fiend, this the return of The God,
Peace God,
ah ah,
it aint no nobody fresher,
Im in Maison
ah, Martin Margiela
on the table screaming f-ck the other side they jealous,
we got a banquet full of broads,
they got a table full of fella’s,
yeaaaahh, and they aint spending no cake,
they should throw they hand in cos they aint got no spades,
yeah, my whole team got dough,
so my banquet is looking like millionaires row.
yeaaaaah.
[Chorus]
[Kanye West]
Its crazy how you can go from being Joe Blow,
to everybody on your d-ck, no homo,
i bought my whole family whips, no volvo’s
Next time I’m in Church please no photos,
police escorts, everybody passports,
this the life that everybody ask for
This the fast life we are on a crash course
what you think i rap for to push a f-cking Rav 4,
but i know that if I stay stunting,
all these girls only gon want one thing,
i can spend my whole life good will hunting,
only good gon come is its good when Im cumming,
she got an ass that will swallow up a G-string,
and up top ahh, 2 bee stings,
and im beasting off the Riesling,
and my n-gga just made it out the precinct,
we give a damn bout the drama that your dude bring,
im just tryin change the color on your mood ring,
Reebok baby, you need to try some new things,
have you ever had shoes without shoe strings?
whats that Ye? baby these heels,
is that a May… whaaat?
baby these wheels,
you trippin when you aint sippin, have a refill
you feel like you running huh, now you know how we feel,
Wassup (Jay-Z)
(Rihanna)
Feeling it coming in the air,
hear the screams from everywhere,
I’m addicted to thrill,
Its a dangerous love affair,
Can’t be scared when it goes down,
got a problem tell me now,
Only thing thats on my mind is who gon run this town tonight,
who gon run this town tonite,
We gon run this town!
Wassup
Wassup
(Jay-Z)
We are,
yeah I said it we are,
this is Roc Nation,
Pledge your allegiance,
get your batiste on,
all black everything,
black cards, blacks cars,
all black everything,
and that girls a blackbirds riding with their dillingers,
i get more in depp
if you boys really real enough
This is la Familia, I’ll explain later,
but for now let me get back to this paper,
I’m a couple bands down,
and im tryin get back,
I gave doug a grip and lost a flip for five stacks,
me im talking 5 comma, 6 zero’s, dot zero’s, jigga
back to running circles round n-ggas
now we squared up, Hold uuuup
(Rihanna – Chorus)
Life’s a game and but its not fair,
I break the rules so I don’t care,
So i keep doing my own thing,
walking tall against the rain,
victory’s within the mile,
almost there don’t give up now,
only thing thats on my mind is who’s gon run this town tonight,
heeeeey, heeeey, heeeey
who’s gon run this town tonite,
[Jay-Z]
We are,
Yeah I said it we are,
you can call me Ceasar,
in a dark ceasar,
please follow the leader,
So Eric B we are,
Microphone fiend, this the return of The God,
Peace God,
ah ah,
it aint no nobody fresher,
Im in Maison
ah, Martin Margiela
on the table screaming f-ck the other side they jealous,
we got a banquet full of broads,
they got a table full of fella’s,
yeaaaahh, and they aint spending no cake,
they should throw they hand in cos they aint got no spades,
yeah, my whole team got dough,
so my banquet is looking like millionaires row.
yeaaaaah.
[Chorus]
[Kanye West]
Its crazy how you can go from being Joe Blow,
to everybody on your d-ck, no homo,
i bought my whole family whips, no volvo’s
Next time I’m in Church please no photos,
police escorts, everybody passports,
this the life that everybody ask for
This the fast life we are on a crash course
what you think i rap for to push a f-cking Rav 4,
but i know that if I stay stunting,
all these girls only gon want one thing,
i can spend my whole life good will hunting,
only good gon come is its good when Im cumming,
she got an ass that will swallow up a G-string,
and up top ahh, 2 bee stings,
and im beasting off the Riesling,
and my n-gga just made it out the precinct,
we give a damn bout the drama that your dude bring,
im just tryin change the color on your mood ring,
Reebok baby, you need to try some new things,
have you ever had shoes without shoe strings?
whats that Ye? baby these heels,
is that a May… whaaat?
baby these wheels,
you trippin when you aint sippin, have a refill
you feel like you running huh, now you know how we feel,
Wassup (Jay-Z)
Friday, 8 January 2010
Thursday, 31 December 2009
We also should have an ideas on different people world wide the activities we do right now perhaps people on north south, west or east are doing it right now. This show that we should not consider on ourselves now but think of other people too. If you are studying, eating, playing, writing ,talking, and many other activities others are doing the same activities right now, but we can not view and access what they are doing because we are barred by our horizon or we don’t have the software given to us if
Wishes
James
Wishes
James
Saturday, 21 November 2009

We also should have an ideas on different people world wide the activities we do right now perhaps people on north south, west or east are doing it right now. This show that we should not consider on ourselves now but think of other people too. If you are studying, eating, playing, writing ,talking, and many other activities others are doing the same activities right now, but we can not view and access what they are doing because we are barred by our horizon or we don’t have the software given to us if
Let us keep exchanging ideas day after day to enable us share the resources we have in this moment world of God
Thank you compiled by James Lubus website owner
TUWE NA HESHIMA WAKATI TUNASALIMIANA NA WAKUBWA HASA HAS KWA WABANTU KAMA SISIS WABONGO MWONRE MISS UGANDA AKIPIGA MAGOTI KUMSALIMIA RAISI ZUMA
Tuesday, 8 September 2009
We also should have an ideas on different people world wide the activities we do right now perhaps people on north south, west or east are doing it right now. This show that we should not consider on ourselves now but think of other people too. If you are studying, eating, playing, writing ,talking, and many other activities others are doing the same activities right now, but we can not view and access what they are doing because we are barred by our horizon or we don’t have the software given to us if
THE WEBSITE OWNER WELCOMES YOU AT VODACOM MISTANZANIA 2009 WAKIWA KAMBINI 1,2 ,3,4,5 JE NI KWELI HAWA WAMEPENDELEWA?



WLet us keep exchanging ideas day after day to enable us share the resources we have in this moment world of God
Thank you compiled by James Lubus website owner
now let us let a c view at these picture and then give me your comments
The above pre engagement picture before the official union of wife and husband at Kimara yesterday
WAKIUZA SURA ZAO
entering einter expensive vehicle
Saturday, 8 August 2009
Monday, 27 July 2009
Saturday, 18 July 2009
Nimeibiwa na Bank naomba msaada
katabazi 9th July 2009, 11:52 AM
--------------------------------------------------------------------------------
Salaam wadau wanasheria,
Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Asanteni.
Katabazi
katabazi
Senior Member
Join Date: Sun Feb 2007
Posts: 91
Thanks: 9
Thanked 24 Times in 18 Posts
Show Printable Version
Email this Page
Views: 324
katabazi
View Public Profile
Send a private message to katabazi
Find More Posts by katabazi
#2 (permalink) 9th July 2009, 12:08 PM
Nziku
Nziku has no status.
JF Senior Expert Member Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 1,330
Thanks: 579
Thanked 837 Times in 455 Posts
Rep Power: 24
Credits: 2,467,195
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana mkuu nenda ofisi ya wakili (advocate) upate ushauri.
#3 (permalink) 9th July 2009, 12:19 PM
Homo Habilis
Homo Habilis has no status.
Member Join Date: Thu Jul 2009
Location: Urban town
Posts: 45
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 0
Credits: 56,260
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana ndg yangu,iyo bank imekufanyia mchezo mchafu katika hali ya kawaida hakuna kitu kama hicho yaani hata wasitie mashaka japo kiduchu.! itakuwa hao Teller wamecheza faulo na huyo mwizi a siganature account siku zote inajieleza kama ni ya mtu mmoja,waawili au kampuni anu namna gani lazima details zionekane,mi ninahisi hali itakuwa mbaya hapo mbeleni na hii yote vijana wameingia kwa wingi sana kwenye taasisi za kibenki halafu wanataka kupata maisha mazuri mapema sana hivyo hii michezo itaendelea kila kukicha kama hatua sahihi hazitachukuliwa mapema. Suala lako linatatulika lakini inabidi uwapush sana hao jamaa wa Benki manake utandaji wao ni taratibu na mashaka matupu.
__________________
" When good and bad deeds are known,the reward or punishment is in your hand "
#4 (permalink) 9th July 2009, 01:00 PM
Mnhenwa Ndege
Mnhenwa Ndege has no status.
Senior Member Join Date: Wed Dec 2007
Posts: 221
Thanks: 11
Thanked 33 Times in 29 Posts
Rep Power: 22
Credits: 1,050,190
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Kwa scenario kama hiyo, kesi inakupendelea wewe. Ila ni hivi ulipogundua kuwa cheki imeibiwa iliripoti benki, ni jukumu lako kama mteja wa benki kulinda vyombo vya fedha kama cheti ipasavyo ( yani pia kwa upande wako kuna lapse). Kwa upande wa Benki yao walikuwa wazembe, iweje wakupe overdraft bila ruhusa yako kwa kawaida kama pesa haitoshi wangeirudisha cheki tu. Au pengine kuna informal arrangement kama hiyo huwa mara nyengine una issue cheki ikiwa pesa hazitoshi kisha wanakupigia simu ukamilishe ilikujenga heshima yako ya kifedha?
Benki wanaweza kujenga hoja zifuatazo;
1. ulipoteza cheki kisha hukutoa taarifa.
2. Pengine ulicheza mwenyewe ukapanga na mtu utoe fedha kwenye akaunti ambayo fedha hazitoshi uangalie nini kitakachotokea kisha ulalamike.
3. Pengine ni wafanyikazi wako wa karibu wamecheza mchezo huwo au ndugu zako.
4. Pengine huwa kuna informal arrangement ya Temparary overdraft benki hiyo wanakupa pindi pale unapopungukiwa wakati inward cheques zako zimekuja, the uka-take advantage ya situation.
Hoja zako nazo.
1. Iweje walipe wakati hela hazitoshi kwenye akaunti yako.
2. A forged signature cannot effect a payment and the bank should be held liable for its action. (this is your very most strong point).
3. Kwanini hawakuirudisha cheki wakati hela hazitoshi? ( "refer to drawer").
4. Mbona ni rahisi kumshika mwizi maana alifungua akaunti yake katika benki aliyo-deposit hiyo cheki feki. Na lazima alipofungua akaunti alitoa picha na kitambulisho pamoja referees wawili. lazima kuna details zake kwenye benki ya conman huyo.
All in all in my perspective wewe kesi utashinda, just confidently go to a lawyer. Kisha kitu chengine muhimu; usiongee na benki yako kwa mdogo waandikie barua uwaeleze management kuhusu tatizo kisha uwatake wakujibu kwa maandishi msimamo wao. Hapo watakuogopa wanaweza kuchukua hatua zakukulipa nje ya mahakama maana uzembe mwingi ni wa kwao.
--------------------------------------------------------------------------------
Last edited by Mnhenwa Ndege; 9th July 2009 at 04:57 PM..
The Following User Says Thank You to Mnhenwa Ndege For This Useful Post:
Mubii (10th July 2009)
#5 (permalink) 9th July 2009, 02:32 PM
Exaud Minja
Exaud Minja has no status.
Member Join Date: Fri Mar 2009
Location: Morogoro
Posts: 15
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 0
Credits: 43,530
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Pole sana ndugu yangu. Ni rahisi sana kumjua mwizi kama alidipoziti hiyo hela kwasababu all records bank yanazo, labda kama ni wenyewe bank yamekuchezea halafu wanaficha. Watu wameweka mihela ulaya na tukapata details zote hapa bongo si ndio hakuna siri kabisa.
Kwanza ni bank gani hiyo tuiogope kama ukoma. Bank ziko nyingi siku hizi tusichezewe na bank zinazofanya uzembe wa wizi wakizamani kabisa.
katabazi 9th July 2009, 11:52 AM
--------------------------------------------------------------------------------
Salaam wadau wanasheria,
Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Asanteni.
Katabazi
katabazi
Senior Member
Join Date: Sun Feb 2007
Posts: 91
Thanks: 9
Thanked 24 Times in 18 Posts
Show Printable Version
Email this Page
Views: 324
katabazi
View Public Profile
Send a private message to katabazi
Find More Posts by katabazi
#2 (permalink) 9th July 2009, 12:08 PM
Nziku
Nziku has no status.
JF Senior Expert Member Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 1,330
Thanks: 579
Thanked 837 Times in 455 Posts
Rep Power: 24
Credits: 2,467,195
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana mkuu nenda ofisi ya wakili (advocate) upate ushauri.
#3 (permalink) 9th July 2009, 12:19 PM
Homo Habilis
Homo Habilis has no status.
Member Join Date: Thu Jul 2009
Location: Urban town
Posts: 45
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 0
Credits: 56,260
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
pole sana ndg yangu,iyo bank imekufanyia mchezo mchafu katika hali ya kawaida hakuna kitu kama hicho yaani hata wasitie mashaka japo kiduchu.! itakuwa hao Teller wamecheza faulo na huyo mwizi a siganature account siku zote inajieleza kama ni ya mtu mmoja,waawili au kampuni anu namna gani lazima details zionekane,mi ninahisi hali itakuwa mbaya hapo mbeleni na hii yote vijana wameingia kwa wingi sana kwenye taasisi za kibenki halafu wanataka kupata maisha mazuri mapema sana hivyo hii michezo itaendelea kila kukicha kama hatua sahihi hazitachukuliwa mapema. Suala lako linatatulika lakini inabidi uwapush sana hao jamaa wa Benki manake utandaji wao ni taratibu na mashaka matupu.
__________________
" When good and bad deeds are known,the reward or punishment is in your hand "
#4 (permalink) 9th July 2009, 01:00 PM
Mnhenwa Ndege
Mnhenwa Ndege has no status.
Senior Member Join Date: Wed Dec 2007
Posts: 221
Thanks: 11
Thanked 33 Times in 29 Posts
Rep Power: 22
Credits: 1,050,190
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Kwa scenario kama hiyo, kesi inakupendelea wewe. Ila ni hivi ulipogundua kuwa cheki imeibiwa iliripoti benki, ni jukumu lako kama mteja wa benki kulinda vyombo vya fedha kama cheti ipasavyo ( yani pia kwa upande wako kuna lapse). Kwa upande wa Benki yao walikuwa wazembe, iweje wakupe overdraft bila ruhusa yako kwa kawaida kama pesa haitoshi wangeirudisha cheki tu. Au pengine kuna informal arrangement kama hiyo huwa mara nyengine una issue cheki ikiwa pesa hazitoshi kisha wanakupigia simu ukamilishe ilikujenga heshima yako ya kifedha?
Benki wanaweza kujenga hoja zifuatazo;
1. ulipoteza cheki kisha hukutoa taarifa.
2. Pengine ulicheza mwenyewe ukapanga na mtu utoe fedha kwenye akaunti ambayo fedha hazitoshi uangalie nini kitakachotokea kisha ulalamike.
3. Pengine ni wafanyikazi wako wa karibu wamecheza mchezo huwo au ndugu zako.
4. Pengine huwa kuna informal arrangement ya Temparary overdraft benki hiyo wanakupa pindi pale unapopungukiwa wakati inward cheques zako zimekuja, the uka-take advantage ya situation.
Hoja zako nazo.
1. Iweje walipe wakati hela hazitoshi kwenye akaunti yako.
2. A forged signature cannot effect a payment and the bank should be held liable for its action. (this is your very most strong point).
3. Kwanini hawakuirudisha cheki wakati hela hazitoshi? ( "refer to drawer").
4. Mbona ni rahisi kumshika mwizi maana alifungua akaunti yake katika benki aliyo-deposit hiyo cheki feki. Na lazima alipofungua akaunti alitoa picha na kitambulisho pamoja referees wawili. lazima kuna details zake kwenye benki ya conman huyo.
All in all in my perspective wewe kesi utashinda, just confidently go to a lawyer. Kisha kitu chengine muhimu; usiongee na benki yako kwa mdogo waandikie barua uwaeleze management kuhusu tatizo kisha uwatake wakujibu kwa maandishi msimamo wao. Hapo watakuogopa wanaweza kuchukua hatua zakukulipa nje ya mahakama maana uzembe mwingi ni wa kwao.
--------------------------------------------------------------------------------
Last edited by Mnhenwa Ndege; 9th July 2009 at 04:57 PM..
The Following User Says Thank You to Mnhenwa Ndege For This Useful Post:
Mubii (10th July 2009)
#5 (permalink) 9th July 2009, 02:32 PM
Exaud Minja
Exaud Minja has no status.
Member Join Date: Fri Mar 2009
Location: Morogoro
Posts: 15
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 0
Credits: 43,530
Re: Nimeibiwa na Bank naomba msaada
--------------------------------------------------------------------------------
Pole sana ndugu yangu. Ni rahisi sana kumjua mwizi kama alidipoziti hiyo hela kwasababu all records bank yanazo, labda kama ni wenyewe bank yamekuchezea halafu wanaficha. Watu wameweka mihela ulaya na tukapata details zote hapa bongo si ndio hakuna siri kabisa.
Kwanza ni bank gani hiyo tuiogope kama ukoma. Bank ziko nyingi siku hizi tusichezewe na bank zinazofanya uzembe wa wizi wakizamani kabisa.
Tuesday, 9 June 2009
_________________HABARI PAMOJA NA MAONI YA WASPMAJI WA MAGAZETI JUU YA ASKOFU_
Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!
Vatican yamvua jimbo Askofu
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 6th June 2009 @ 00:00 Imesomwa na watu: 3626; Jumla ya maoni: 32
Habari Zaidi:
• Basi laua watano Dodoma
• Mkutano wa Bunge waanza Dodoma
• Mahalu akwama, arudishwa Kisutu kujitetea
• Zitto kuishitaki HabariLeo
• Shahidi EPA augua ghafla kortini
• JK akutana na mabalozi wa Cuba, Saudia
• UDSM yafunga barabara hosteli Mabibo
• JK kuwahutubia wabunge kesho
• Watu 86 mbaroni uvamizi shambani kwa Kimaro
• Padri akemea ngono UDSM
• Wanne kizimbani kwa kuua albino
• Rasilimali fedha yatesa, yavigawa vyama
• Nyumba 12 zaongezwa fidia Mbagala
• Mhina atwaa kiti Wazazi CCM
• Kanisa Katoliki Same laelekea pabaya
• Mbunge Kimaro majaribuni tena
• Mauaji yafanyika hosteli za Mabibo
• Wafanyakazi TTCL ‘waisusia’ menejementi
• Kikwete aionya Jumuiya ya Wazazi
• Mabomu yadhibitiwa, 17 hoi kwa mshtuko
Habari zinazosomwa zaidi:
• Balaa lingine kwa Chenge
• Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
• Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
• Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
• ‘Housigeli’ anataka kuniharibia ndoa
• Vatican yamvua jimbo Askofu
• Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
• Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
• Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
• JK apigilia msumari wa mwisho Dowans
Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Vatican nchini Italia yamemnyang’anya Jimbo, Askofu wa Same, Jacob Koda, baada ya kubainika kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa hilo. Balozi wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Joseph Chennoth alithibitisha Dar es Salaam jana kuwa Askofu Koda ametakiwa na kanisa kuacha utume huo mara moja na kupumzika ama kufanya shughuli binafsi za mafunzo.
Hata hivyo, Balozi huyo wa Papa hakufafanua zaidi kiini cha kuondolewa kwa Askofu Koda na ni mafundisho gani ya kanisa aliyokiuka, ingawa taarifa kutoka Same zilizolifikia gazeti hili jana zilidai kuwa amejiingiza katika mafundisho yaliyo kinyume cha imani ya Kikristo na ya Kanisa Katoliki.
Sambamba na kuondolewa Askofu Koda katika jimbo hilo lililoko mkoani Kilimanjaro, pia taarifa ya Askofu Mkuu Chennoth kwa vyombo vya habari jana ilieleza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo kuwa Msimamizi wa Kitume wa jimbo hilo hadi hapo litakapopata askofu mwingine.
Padri Kimaryo kabla ya uteuzi huo alikuwa Paroko wa Parokia ya Kipawa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. “Tumemshauri kuondoka jimboni na Padri Kimaryo ataongoza jimbo hilo kwa muda mpaka hapo Baba Mtakatifu atakapomteua askofu mpya,” alisema Askofu Mkuu Chennoth.
Aidha, taarifa hiyo ya Ubalozi wa Vatican hapa nchini kwa vyombo vya habari iliyotolewa kwa gazeti hili na Katibu Mtendaji wa Habari wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Revocatus Makonge, ilithibitisha uteuzi wa Padri Kimaryo katika jimbo hilo la Same.
“Mwakilishi wa Baba Mtakatifu hapa nchini anayo heshima kutangaza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo (CSSP) ambaye ni Paroko wa Kipawa, Dar es Salaam kuwa Msimamizi wa Kitume mwenye mamlaka kamili na chini ya utii kwa kiti kitakatifu wa Jimbo Katoliki la Same,” ilieleza taarifa hiyo iliyotolewa Mei 30, mwaka huu. Hata hivyo, Padri Makonge alisema TEC haina taarifa zozote za kina kuhusu suala hilo na kueleza kuwa wanachofahamu ni uteuzi wa Padri Kimaryo kupitia taarifa hiyo ya Mwakilishi wa Papa nchini.
Taarifa zaidi kutoka katika ofisi za Ubalozi wa Vatican Dar es Salaam zilieleza kuwa Padri Kimaryo atakabidhiwa jimbo hilo kwa usimamizi rasmi kesho katika Ibada ya Misa itakayoongozwa na Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika Kanisa Kuu la Same na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa kanisa hilo akiwamo Askofu Mkuu Chennoth.
Bila kufafanua zaidi, Askofu Mkuu Chennoth alisema Kanisa Katoliki huwa lina utaratibu wa kumteua Msimamizi wa Jimbo linapotokea hitaji kama hilo hivyo ni kitu cha kawaida ndani ya kanisa pindi panapoonekana umuhimu wa kufanya hivyo.
Askofu Koda aliteuliwa na Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa II kuwa Askofu Mpya wa Same Septemba 1999 kuchukua nafasi ya Askofu Josephat Lebulu aliyehamishiwa katika Jimbo Kuu la Arusha.
Padri Kimaryo ambaye ni Padri wa Shirika la Roho Mtakatifu alitunukiwa Udaktari wa Sheria nchini Roma katika Chuo Kikuu cha Pontifical Gregorian na pia amefanya kazi ya kitume kama mshauri kwa miaka sita katika nyumba yao ya shirika nchini humo.
Kwa utaratibu wa Kanisa Katoliki, Papa humteua Msimamizi wa Jimbo ambaye kikanisa ni kama Mtawala ambaye hufanya kazi hiyo, mara kadhaa hutumikia katika eneo ambalo halijapewa hadhi ya Jimbo au katika Jimbo lisilo na Askofu au tatizo kama lililotokea. Katika sheria za kanisa (Canon Law), utawala wa aina hiyo unampa mamlaka mtawala kufanya kazi zote za kiaskofu isipokuwa kuuza mali yoyote ya jimbo na kutoa daraja la upadrisho.
Jumal Maoni (32)
Maoni Tunaupongeza uongozi wa kanisa Katholiki lakini ni vizuri kuwa wazi huyo aliyefukuzwa kafanya nini? Labda kaonewa!
Maoni mimi naona taarifa hizi haziko sahihi kwa sababu hawajaweka wazi sheria iliyokiukwa, na hii ni kama kumnyima haki Askofu Koda au ni kuficha uovu wa kanisa au kwa namna nyingine kosa walilo mtuhumu linakosoa kanisa Katoliki na inaonekana hawajawa tayari kukosolewa mahubiri finyu wanayohubiri ambayo hayalingani na Biblia ilivyoandikwa
Maoni Hizi ni dalili tosha za mwisho wa dunia. Tuombe Mungu atusaidie.
Maoni Kwanza ninalishukuru kanisa kwa hatua iliyozichukua.
Lakini ninaomba pia kanisa liwe wazi kueleza sababu za msingi zilizo fanywa na mtumishi huyo wa Mungu ili iweze kuwa fundisho kwa wengine pia kulinda heshima na uadilifu wa kanisa kwa ujumla.
Maoni Naomba ufafanuzi zaidi juu ya hilo, kosa lake ni lipi na kanuni ya kanisa ni kusamehe? Ni bora kujua kosa kuliko kuficha maana wengine hawatajifunza.
Mungu anatuasa wanadamu kusamehe ina maana dhambi yake ni kubwa vipi hata asisamehewe?
Maoni Mi nadhani wangetueleza mafundisho gani ambayo amekiuka ya kikristo,isije ikawa na ubabe tu wa KIIMANI
Maoni Naomba Kanisa liwapitie Maaskofu wote . Mchunguzeni kwanza Askofu Josephat Lebulu wa Arusha. siku ya Pentekoste pale st. Theresa aliongoza ibada ambayo ilikiuka maadili ya ukatoliki kabisa ikawa kama ya kilokole (pentekoste) kila mtu anajifanya kashukiwa na roho mtakatifu zikaimbwa nyimbo ambazo si za kikatoliki. Tunaacha ukatoliki tunaenda kwenye madhehbu mengine
Maoni Tumuombe Mungu alisimamie kanisa lake. Shetani analitikisa lakini litasimama imara.
Maaskofu tujifunze kwa mifano hii. Atakayechezea nafasi yake atanyang'anywa.
Ikiwa maaskofu wanakuwa wazushi na wazinzi, je kanisa linakwenda wapi?
Asante Baba Mtakatifu kwa kuondoa mapadre na maaskofu wasiofaa.
Je walutheri, Waangalikana na madhehebu mengine ya Kikristo mnajifunza nini kwa hili la Askofu Jakob Koda. Tunajua wapo viongozi wa kanisa wamejiingiza kwenye uzinzi, wizi, biashara na hata ushirikina.
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe.
Waumini
Jimbo la SAME
Maoni Kwa Jina la Allah mwingi wa rehema mwenye kuneemesha neema kubwa na mwenye kuneemesha neema ndogo.
Kwa jacob Koda,
Ushauri wangu kwako wewe ni kukubali Uislam. Kubali Uislam na utapata amani (ya dunia na akhera) na Allah atakupa malipo ya aina mbili.Ukikataa basi utajibebea madhambi yako na ya wale wanaokufuata.
Quran 3:64 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu (Wakristo na Mayahudi)! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu".
Maoni maskofu wa ainahiyo wako wengi hakuna mafundisho yanayo tolewa siku hizi ni kufatilia makanisa mengine na kwamba hata huku kwetu wapo tena hata mashehe wamemiliki misikiti kama mali yao . hata mimi naunga mkono vatcan inakuaje kwamba mchungaji au padri wanaendesha ibada huku waumini wamevalia mavazi mafupi kiasi kwamba hata anapoinama kusujudu mgongo unabaki wazi na kusababisha hata kwa wale wanaokua wamejifunga shanga zionekane kwa watu wasiohusika hata mbele za mungu ni uchafu. chukulia madhehebu ya kiroho yanay0fanya maombezi hufikia wakati waumini kuanguka chini huku kukiwa na umati mkubwa. maoni yangu viongozi wanaotangaza neno la mungu wawe makini wasije wakaongoza kondoo wa mungu ambao mungu atakuja kuahukumu kwenda jehanam NI MIMI MUAMINIFU KATIKA BWANA .MOURICE .TARIME
Maoni Kwanzakabisa nashukuru uongozi wa kanisa catholic kwa kua macho kuendelea kuchunguza mienendo ya watumishi wake,maranyingi tumekua tukisikia vituko wafanyavyo hao mapadri na maasikofu mpaka unajiuliza hao watu waliingia kwenye fani hiyo kwa kulazimishwa au vipi,kama atakua ameonekana na makosa basi wamuondoe ajichanganye mitaani.Maana wanakera sana kusimama madhabauni na kuongea maneno ya busara lakini wakitoka nje wanamega wake za watu,visichana vidogodogo nawengine kuwatia mimba wanafunzi.Ninawasiwasi nahuyo ASKOFU anaweza kua nae kakoboa vilevile nae akabolewe kwa njia nyingine Ahasanteni.
Maoni MAONI TUNGETOA KWA USAHIHI ZAIDI KAMA KOSA LAKE LINGEWEKWA WAZI,ILA KANISA HILI LINAWEZA LIKAKOSA MSIMAMO KWA VILE PIA LENYEWE HALISIMAMI KTK NENO, MFANO KUWEKA BAYANA KWAMBA POMBE SIO DHAMBI,JAMANI MAANDIKO YANAHITAJI UFAFANUZI WA KINA KWAKUWA NENO LASEMA 'ANDIKO HUUA LAKINI ROHO HUHUISHA'NA KAMA POMBE SIYO DHAMBI BEBA CHUPA YA BIA KATOE SADAKA,KWA UGUMU UTAKAOUSIKIA NDIO MAANA YA NENO HILI KWAMBA 'ANDIKO HUUA BALI ROHO HUHUISHA'MAANA YAKE KWAMBA YAPO MAANDIKO AMBAYO YANAHITAJI UFAFANUZI KTK ROHO SIYO TU KULIBEBA ANDIKO KAMA LILIVYO,HATA MTUME PETRO ALIKIRI KTK [2PETRO 3;16-17] WAZI KWAMBA KTK MAANDIKO YAPO MAMBO AMBAYO NI VIGUMU KUELEWA NAYO NA WATU WASIO NA ELIMU YA MUNGU HUYAPOTOSHA MUWE WAANGALIFU WAKATOLIKI FIKIRIE TENA KUHUSU KURUHUSU POMBE KITU AMBACHO KIKIMWINGIA KINAMBADISHA MAWZO NAKUFANYA CHOCHOTE.
Maoni In nominos patres et fillis et Sanctus spiritum, amesema baba mtakatifu kuna kitu ndani yake na iwe hivyo kwani Canon Laws zipo wazi na zinatoa mamlaka hayo kwake...
Ni matumaini ya wakristu wengi kuwa Askofu ajaye atakuwa mwema na mwenye kuheshimu ukristu na sheria takatifu za kanisa. Tuamini hivyo na iwe hivyo...
Maoni huu ni uonevu tu mbona kafanya mambo mengi mazuri jimboni. acheni wivu wa madaraka. msilete siasa katika kanisa la mungu
Maoni Sawa unamvua mtumishi/mtu madaraka na kueleza uma pasipo kueleza kwa kina chanzo cha kuvuliwa madaraka ama tuseme wito ambao hukaa ndani ya moyo. Ni bora walioweka mambo haya hadharani wangeweka na sababu ya tukio zima kwa ujumla wake ili waumini wasibaki na maswali yasiyo kuwa na majibu kutoka yanapostahili kwani tunaacha mwanya wa kuoneza majungu na kuchafuliana majina pasipo sababu.
Nawakilisha
William
Maoni Sawa unamvua mtumishi/mtu madaraka na kueleza uma pasipo kueleza kwa kina chanzo cha kuvuliwa madaraka ama tuseme wito ambao hukaa ndani ya moyo. Ni bora walioweka mambo haya hadharani wangeweka na sababu ya tukio zima kwa ujumla wake ili waumini wasibaki na maswali yasiyo kuwa na majibu kutoka yanapostahili kwani tunaacha mwanya wa kuoneza majungu na kuchafuliana majina pasipo sababu.
Nawakilisha
William
Maoni Umefika wakati kanisa likawa lina tueleza ukweli wa makosa yalio tendwa ili nasi waumini tukiona mtumishi mwingine anatenda tujuwe hili nikosa. lakini kueleza makosa kwa ujumla 'kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa' haitoshi. je makosa hayo ni yapi? baba wa taifa alisha sema mficha maradhi kilio kitamuumbua!
Tubadilike Kanisa Katoliki!!
Maoni kainisa katoliki linatakiwa kuwa makini sana kwani linamtazamo wa kiuchumi zaidi kuliko kiroho .kwani Waumini waleo niwadadisi wa mambo kuliko zamani ukiweka sheria watataka kujua ni kwanini tofauti nazamani walikua wanatii kwakutambua kua sheria ya kanisa nisheriaya mungu na hofu juu ya mungu imepungua kwa binadamu wa leo Kwahiyo kanisa lina hitaji kubadilika kutokana na mtazamo wakidunia
Kwa hiyo swala la kiroho linaonekana kama kigezo tu
Hata wachunga kondoo wa leo wanakwenda kinyume na maadili kutokana sera yenyewe kutokuwa wazi kwani kuna mambo mengiyamefichika wakitambua ukweli wake nndipo maadili yanapo vungika.Mfano. wahumini wa mwanzo hawakuruhusiwa kusoma biblia
hata ukisoma ni inglitu au agano jipya wazamani hawakuhoji ila wasasa niwadadisi sana .Tazama sasa waumini wengi hajui biblia na wanapo kabiliana na wanaojua wana potea kumbe nikuto kuelewa tu
Maoni Kanisa katoliki linamisingi mikuu mingi ikiwa ni pamoja na kutetea imani ya kikatoliki kama sala ya nasadiki inavyosisitiza
naafiki uamuzi wa baba mtakatifu kumteua mwingine ila nashauri ni vema tujue hasa askofu koda amekiuka kipi kwani mpaka sasa tupo kwenye mafumbo either baadhi ya wengine pengine watadhani kaonewa
Maoni Tunaomba tujulishwe huyu askofu Jacob Koda kakiuka mafundisho gani ya imani ya kanisa ? Jamani kuweni wawazi kwa waumini. mnatuficha nini ? Twambie tujue na tumwombee mtumishi wa bwana apate msamaa kwa Mungu , atubu na kupata wokovu.Kumbuka kuwa sisi sote tu wadhambi! yatupasa kutubu dhambi zetu na kuziacha kabisa ili tupate uzima wa milele.
Maoni Askofu koda pole kwa yaliyokusibu.kukosea na kutubu ndio mwanzo wa kusimama upya kiimani. koda kama ni uzinzi, au umetenda kosa kama alilofanya fr: kimaro, kuuza mali za kanisa.tubu
Maoni Askofu koda pole kwa yaliyokusibu.kukosea na kutubu ndio mwanzo wa kusimama upya kiimani. koda kama ni uzinzi, au umetenda kosa kama alilofanya fr: kimaro, kuuza mali za kanisa.tubu
Maoni taarifa hii ni ya kusikutisha na isitoshe inaamsha shauku ya kujua ni nini alichofanya kikubwa hadi kunyang'anywa Jimbo.
Maoni huwezi kumuhukumu mtu kwa kosa lisilo julikana lazima kujua kosa ndipo achukuliwe hatua ya kufukuzwa sikubaliani na kufukuzwa kwake mtu huyo lazima kujua kosa ndipo afukuzwe hatua kali zichukuliwe kuzalilishwa kwa askofu huyo nipotayari kua shahidi hata mbele za bwana kua hatujui kosa alilo lifanya zaidi ya wao kumuekea kashfa askofu huyo zaidi tunacho taka kujua kosa gani kwani hata yesu alisamehe watu bada yakujua kakosa kama muhalifu basi asemwe sinamengi ila maoni yatakamilika wakati tutajua kosa lake? napingavita sio vizuri kumtangazia mtu ubaya bila ya kujua kosalake hatari sana nduguzangu wa kikristo
yosia chimwai
kutoka zanzibar
Maoni Kanisa katoliki lina maongozi yake na walio ndani wanajua na km hawajui ni kosa lao. Yaliyotokea kwa askofu ni halali yake kwani alipoamua kazi ya kichungaji alitafakari kwanza.
Km kanisa halikumtendea haki anayo maamuzi mtendewa, na hii itategemea na maongozi ya kanisa.
Ni hiyari mtu kufuata akitakacho kwani dini si jambo jepesi km inavyodhaniwa na wengi kiasi imefikia mtu anasema mimi ni wa peponi na wewe ni wa motoni, ahsante kanisa katolki
Maoni unajua imani hizi za kuletewa zina matatizo yake na haya ni mwanzo tu.
Huyu askofu nisingependa kusena kuwa ana makosa au lah. sasa ametoa baraka kwa watu kibao je ndiyo kusema kuwa waliopewa baraka naye zimekuwa batili? Je mafundisho yake je?
Mimi ningependa kuwashauri watanzania wenzangu ni bora mkabaki kuwa Watanzania badala ya kuwa wafuasi wa Imani ambazo hakuna hata mmoja wetu mwenye mamlaka nazo.
Eti mimi ni muumini ambaye ninaamini Mungu lakini binadamu ndiyo wanaotoa hukumu kuwa hapa nimemkosea Mungu. Tufanye ibada tumuabudu Mungu achana na dini. zinapotosha kwani hawa wanaotuongoza ni 100% binadamu, wana mapungufu yao.
Hata huyo Papa, pia ana mapungufu.please, turudi katika imani za asili tuishi.
Maoni Wakristo wenzangu, kanisa la katoliki lina misingi na taratibu zake za kuongoza na kuwaweka wakfu na kuwaondolea wakfu watumishi wake. Hili lililompata Askofu lisitumike kama mwanya wa kukejeli imani ya kikatoliki au imani nyingine. Hawa viongozi wa imani mbalimbali tulizonazo hawakushuka kutoka juu, bali ni binadamu kama sisi, wenye miili dhaifu kama yetu na wanaitafuta mbingu kama wewe na mimi. Hawa ni kama madereva tu ambao gari likianguka na yeye anakufa au kujeruhiwa kama abiria yeyote. Hivyo kwa waumini bora huu ni wakati wa kuwaombea wacha Mungu wote wadumu kuwa imara katika imani hiyo na siyo kutumia udhaifu wa viongozi wa kidini kama kigezo cha kuchafua imani. Kama Askofu huyo kaonewa, yeye mwenyewe kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo atakata rufaa. Tuwaache viongozi wa kanisa hilo wafanye kazi yao.
Mshauri wa watoa maoni
Ireland
Maoni pole askofu koda kwa yaliokusibu, usijali yatapika.ulichokosa tubu na mungu atakusamehe,ila kanisa katolilik msiwe mafya kiasi hicho elezen ukwel alichokosa.Najua umefanya mema mengi na mabaya mengi koda il a si wewe tu ni wengi mapadr na maaskof wamefanya makosa, mbona wao wamesamehewa?nataman kuandika makala kutokana na tukio hili kwan limenigusa sana na ukizingatiwa mimi ni mkatoloki wa damu, ila maadil ya kikatolik yanakandamiza baadhi ya watu,kuen wakwel semen makosa yake.
kuwen wawaz,wote ni binadamu na tunakosa ila tusameheane.
Maoni Waweke wazi sababu ya kufuzwa kama walivyoweka wazi kumuachisha. Mimi sidhani kama ni sawa walichofanya kwani hawa viongozi wetu wa RC... MHH! Wananishangaza sana na matendo yao, Kama kweli Mungu yupo, basi nimeamini usemi usemao "Mungu si Athumani"
Kikubwa... "Asiyekuwa na dhambi basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwenzake..."
Inasikitisha kwakweli, ingawa sijui alichokifanya, ila hawa viongozi wa RC sio wote wenye matendo mema.
Maoni Watu wanashauku sana kujua makosa ya wenzao, halafu sijui ili iweje.
Mimi naona si vema wala busara kung'ang'ania kujua makosa ya wengine wakati sisi wenyewe tuna makosa yetu, tena mengine yanayotia hata kinyaa mbele za Mungu na wenzetu. Tunapenda sana kuwa mashabiki wa makosa ya wenzetu ili kuwanyoshea vidole.
Kanisa linafanya vema kwa kutotangaza makosa ya Askofu Koda ili kuondoa unyanyapaa wa watu wanaopenda kuwatupia wenzao mawe kana kwamba ni wakosefu wakubwa kuliko wao.
Yatosha mtu kujua dhambi zako mwenyewe na kuomba msamaha wa Mungu kwa ajili yako mwenyewe. Na Askofu Koda lazima anayajua makosa yake mwenyewe (au amejulishwa na Kanisa makosa yake) na tunamuombea Mungu amjalie neema ya kuyatubia.
Kwa Kanisa kufikia uamuzi mkubwa hivyo ni lazima limefanya uchunguzi wa kina (hata pengine kujadiliana na mhusika kwa kina) na limejiridhisha na hali ya mambo. Zaidi sana limeona madhara yake kwa Kanisa la Same siku za baadae. Tuliamini Kanisa.
Wakati tunapong'ang'ania kujua makosa ya wengine tukumbuke maneno ya Bwana Yesu "Anayejiona hana dhambi awe wa kwanza kumtupia huyu mwanamke jiwe" (Yohane 8:7).
Vilevile tuache tabia ya Kulitupia lawama Kanisa zima kwa makosa ya baadhi ya waamini wake; kama vile hatuwezi kuwatupia lawama mitume wote kwa kosa la Yuda Iskariote. Kanisa haliachi kuwa la kweli kwa vile miongoni wa waamini wake ni wadhambi! Wadhambi ktk Kanisa walikuwepo tangu karne ya kwanza (rejea Barua za Mitume katika Biblia hasa za Mtume Paulo na Pia Kitabu cha Ufunuo; nyaraka kwa makanisa saba). Na ndio maana kuna siku ya hukumu ambapo uzuri na ubaya wa kila mtu utafunuliwa. Na miongoni mwetu tunaofunua sana midomo yetu tutaumbuliwa siku ile. Basi tuache kushabikia makosa ya wenzetu, yetu yanatutosha. Tuache kulaumiana na kuhukumiana kama alivyotuasa Bwana Yesu mwenyewe.
Bwana atujalie Roho wa Hekima na Akili tujue nafasi zetu katika njia ya wokovu; na tumwachie Mungu yaliyo ya Mungu.
Maoni Mimi ni muumini katika jimbo katoliki la Same Parokia ya Yesu Mwenye Huruma - Mwanga, imeniuma sana. Binafsi naona taarifa hizi haziko sahihi na maoni mengi yanayotolewa huenda nayo yasiwe sahihi kwa sababu hawajaweka wazi maadili yaliyokiukwa, na hii ni kama kumnyima haki Askofu Koda au ni kuficha uovu wa kanisa au kwa namna nyingine kosa walilo mtuhumu linakosoa kanisa Katoliki na inaonekana hawajawa tayari kukosolewa.
Mimi naafiki uamuzi wa Baba Mtakatifu kumteua Msimamizi mwingine ila nashauri ni vema tujue hasa askofu Koda amekiuka kipi kwani mpaka sasa tupo kwenye mafumbo either baadhi ya wengine pengine watadhani kaonewa na makosa hayo hayo yanaweza kuendelea kujitokeza.
Maoni kanisa katoliki lina tatizo kubwa la usiri na hapa linapaswa kubadilika.makosa ya askofu koda hayakuwekwa wazi hata hivyo kuna tatizo la ukosefu wa maadili kwa baadhi ya watumishi wake
GAZETI LA HABARI LEO JUU YA ASKOFU KODA
Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Vatican nchini Italia yamemnyang’anya Jimbo, Askofu wa Same, Jacob Koda, baada ya kubainika kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa hilo. Balozi wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Joseph Chennoth alithibitisha Dar es Salaam jana kuwa Askofu Koda ametakiwa na kanisa kuacha utume huo mara moja na kupumzika ama kufanya shughuli binafsi za mafunzo.
Hata hivyo, Balozi huyo wa Papa hakufafanua zaidi kiini cha kuondolewa kwa Askofu Koda na ni mafundisho gani ya kanisa aliyokiuka, ingawa taarifa kutoka Same zilizolifikia gazeti hili jana zilidai kuwa amejiingiza katika mafundisho yaliyo kinyume cha imani ya Kikristo na ya Kanisa Katoliki.
Sambamba na kuondolewa Askofu Koda katika jimbo hilo lililoko mkoani Kilimanjaro, pia taarifa ya Askofu Mkuu Chennoth kwa vyombo vya habari jana ilieleza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo kuwa Msimamizi wa Kitume wa jimbo hilo hadi hapo litakapopata askofu mwingine.
Padri Kimaryo kabla ya uteuzi huo alikuwa Paroko wa Parokia ya Kipawa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. “Tumemshauri kuondoka jimboni na Padri Kimaryo ataongoza jimbo hilo kwa muda mpaka hapo Baba Mtakatifu atakapomteua askofu mpya,” alisema Askofu Mkuu Chennoth.
Aidha, taarifa hiyo ya Ubalozi wa Vatican hapa nchini kwa vyombo vya habari iliyotolewa kwa gazeti hili na Katibu Mtendaji wa Habari wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Revocatus Makonge, ilithibitisha uteuzi wa Padri Kimaryo katika jimbo hilo la Same.
“Mwakilishi wa Baba Mtakatifu hapa nchini anayo heshima kutangaza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo (CSSP) ambaye ni Paroko wa Kipawa, Dar es Salaam kuwa Msimamizi wa Kitume mwenye mamlaka kamili na chini ya utii kwa kiti kitakatifu wa Jimbo Katoliki la Same,” ilieleza taarifa hiyo iliyotolewa Mei 30, mwaka huu. Hata hivyo, Padri Makonge alisema TEC haina taarifa zozote za kina kuhusu suala hilo na kueleza kuwa wanachofahamu ni uteuzi wa Padri Kimaryo kupitia taarifa hiyo ya Mwakilishi wa Papa nchini.
Taarifa zaidi kutoka katika ofisi za Ubalozi wa Vatican Dar es Salaam zilieleza kuwa Padri Kimaryo atakabidhiwa jimbo hilo kwa usimamizi rasmi kesho katika Ibada ya Misa itakayoongozwa na Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika Kanisa Kuu la Same na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa kanisa hilo akiwamo Askofu Mkuu Chennoth.
Bila kufafanua zaidi, Askofu Mkuu Chennoth alisema Kanisa Katoliki huwa lina utaratibu wa kumteua Msimamizi wa Jimbo linapotokea hitaji kama hilo hivyo ni kitu cha kawaida ndani ya kanisa pindi panapoonekana umuhimu wa kufanya hivyo.
Askofu Koda aliteuliwa na Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa II kuwa Askofu Mpya wa Same Septemba 1999 kuchukua nafasi ya Askofu Josephat Lebulu aliyehamishiwa katika Jimbo Kuu la Arusha.
Padri Kimaryo ambaye ni Padri wa Shirika la Roho Mtakatifu alitunukiwa Udaktari wa Sheria nchini Roma katika Chuo Kikuu cha Pontifical Gregorian na pia amefanya kazi ya kitume kama mshauri kwa miaka sita katika nyumba yao ya shirika nchini humo.
Kwa utaratibu wa Kanisa Katoliki, Papa humteua Msimamizi wa Jimbo ambaye kikanisa ni kama Mtawala ambaye hufanya kazi hiyo, mara kadhaa hutumikia katika eneo ambalo halijapewa hadhi ya Jimbo au katika Jimbo lisilo na Askofu au tatizo kama lililotokea. Katika sheria za kanisa (Canon Law), utawala wa aina hiyo unampa mamlaka mtawala kufanya kazi zote za kiaskofu isipokuwa kuuza mali yoyote ya jimbo na kutoa daraja la upadrisho.
Source: Habari Leo
GAZETI LA MWANANCHI
LINAELEZA KAMA IFUATAVYO
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Askofu aliyevuliwa madaraka Same akana kushiriki Freemason
Jimbo Katoliki la Same, amejitokeza hadharani na kuweka wazi na kiini cha hatua hiyo huku akikanusha taarifa zilizozagaa kuwa anashiriki dini ya mashetani.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwanachi Jumapili jana alisema, “Sijashiriki na sitashiriki dini hiyo, lakini wanaozusha hayo mambo wajue muosha naye huoshwa, hivyo walivyonisingizia siku sio nyingi vitawarudi”.
Kulingana na taarifa hizo, kuvuliwa madaraka kwa Askofu Koda kumetokana na madai ya kujihusisha na dini ya kishetani (Freemason) na kwamba mwenendo huo ulibainika katika uchunguzi wa kishushushu uliofanywa na kanisa kwenye makazi ya askofu huyo.
Lakini taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Vatican jijini Dar es salaam juzi na kukaririwa na vyombo vya habari haikufafanua kisa cha kuondolewa kwake mamlaka zaidi ya kusema tu kuwa amebainika kukiuka mafundisho ya kanisa hilo.
Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo, Paroko wa Parokia ya Kipawa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam kuwa Msimamizi wa Kitume wa jimbo hilo hadi hapo litakapopata askofu mwingine.
Padri Kimaryo anakabidhiwa jimbo hilo kwa usimamizi rasmi leo katika Ibada ya Misa itakayoongozwa na Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika Kanisa Kuu la Same na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa kanisa hilo akiwamo Balozi wa Vatican, Askofu Mkuu Joseph Chennoth.
Askofu Koda ambaye hata hivyo alisisitiza kuwa yeye bado ni askofu hadi milele kwa kuwa alichoondolewa ni mamlaka ya kuongoza jimbo, alifafanua kuwa hatua hiyo dhidi yake inatokana na uchu wa madaraka, chuki binafsi na wivu wa maendeleo aliyoleta katika jimbo hilo.
Alisema wenye uchu wa madaraka na ambao wamejilimbikizia mali wameungana na askofu mmoja mwandamizi kwenye Kanda ya Kaskazini kumchafua.
Kwa mujibu wa Koda, Askofu huyo anadaiwa kujenga chuki binafsi na wivu na aliouonyesha waziwazi wakati yeye (Koda) alipomwalika Rais Kikwete kufungua shule ya wasichana ya Kandoto.
Kabla ya kuzungumza na gazeti hili ilimlazimu kwanza kutoa dukuduku lake kuwa yeye hajalikimbia jimbo hilo.
“Kwanza napenda kusema kwamba si kweli kwamba sijulikani nilipo kama gazeti lilivyosema (sio Mwananchi) kama ningekuwa sijulikani nilipo kanisa lingepeleka taarifa polisi nao wangeanza kunitafuta,” alisema Askofu Koda.
Askofu Koda alisema kwa wiki nzima amekuwa jimboni humo akiendesha ibada na kwamba, jana asubuhi aliendesha ibada katika kanisa la Mtakatifu Bernard na kwamba hawezi kulikimbia jimbo hilo kamwe.
Akifafanua zaidi kile anachodai ni wivu dhidi yake, alisema “Kiongozi wa kanisa (anamtaja) alionyesha kutofurahishwa na mimi kumwalika Rais Kikwete na hata kabla ya siku yenyewe aliniuliza kwanini nimemwalika rais ambaye ni Muislamu kufungua shule ya kanisa,” alisema Askofu Koda.
Askofu huyo anasema alikataa ushauri wa kiongozi huyo na tangu wakati huo alianza kumzulia mambo mengi akihoji zilikopatikana fedha zilizotekeleza miradi mikubwa jimboni humo.
Baadhi ya miradi ambayo Koda anadai inaonewa wivu na kiongozi huyo, ni Seminari ya Chanjale, shule za Dido, Vumari, Kandoto, Mother Theresa of Calcutta na nia yake ya kutaka kujenga chuo kikuu jimboni kwake.
Kwa mujibu wa Askofu Koda, mafanikio makubwa yaliyopatikana katika uongozi wake ni pamoja na kusomesha mapadri 34 nje ya nchi, 19 kwa ngazi ya Shahada za Uzamivu (PhD) ni baadhi ya mambo yaliyoibua mambo yote hayo.
Hata hivyo, pamoja na vikwazo hivyo bado anayo mipango kabambe ya baadaye ili kulifanya jimbo hilo lifikie katika hali ya kujitegemea katika suala la rasilimali watu na kutoa mchango kwa Same na taifa kwa ujumla.
Alieleza kuwa mpango wake wa kuanzisha chuo Kikuu cha Ngalekeru katika Wilaya za Same na Mwanga uko katika hatua nzuri na Chuo Kikuu cha California nchini Marekani kimekubali kuanza ujenzi huo Septemba mwaka huu.
Askofu Koda alisema kuwa mpango mwingine wa kuanzisha hospitali kubwa ambayo ingekuwa na chuo cha madaktari wilayani Mwanga ambayo ingekuwa chini ya Hospitali ya Saint Raphael ya Milano nchini Italia.
“Mipango yote hii imeibua maswali yenye wivu kwamba hizo pesa zinatoka wapi,” alisema Askofu Koda bila kusema kama fedha hizo ndizo zinazodaiwa kutoka katika dini ya mashetani kama uvumi ulivyoenezwa.
Askofu huyo alisisitiza kuwa lengo lake ni kunyanyua jamii ya Upare hasa ikizingatiwa kuwa Upare ni pakavu, hivyo mchango wa shule na miradi mingine mikubwa ingesaidia kuleta mabadiliko ya kiuchumi.
Mwandishi wa Habari wa Idara ya mawasiliano ya Jimbo, Padri Joseph Mlacha alisema taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari imepotosha umma.
“Alichoondolewa Askofu ni Mamlaka ya Jimbo tu lazima ifahamike kuwa Uaskofu Sakramenti daraja la tatu, huwa unadumu milele na ndio maana Askofu amewasiliana na wanasheria wake,” alisema.
Source: Mwananchi
MAONI YA WANANCHI MBALI MBALI
Akifafanua zaidi kile anachodai ni wivu dhidi yake, alisema “Kiongozi wa kanisa (anamtaja) alionyesha kutofurahishwa na mimi kumwalika Rais Kikwete na hata kabla ya siku yenyewe aliniuliza kwanini nimemwalika rais ambaye ni Muislamu kufungua shule ya kanisa,” alisema Askofu Koda.
No! No! Kanisa haliwezi kumkataa kiongozi wa nchi kwani imeandikwa watii viongozi, ila labda kwa sababu Kikwete analea mafisadi na hivyo kuwa mfano mbaya kwa waumini wa dini anaweza kukataliwa asihudhurie mikusanyiko ya kanisa kwani itakuwa picha mbaya kuenzi wahalifu na haya sio mafundisho ya kanisa, inampasa Kikwetekukusanyika kwenye makundiya akina Rostam, lowasa, chenge nk.
Askofu huyo anasema alikataa ushauri wa kiongozi huyo na tangu wakati huo alianza kumzulia mambo mengi akihoji zilikopatikana fedha zilizotekeleza miradi mikubwa jimboni humo.
Kama chanzo cha fedha hakijulikani ni lazima kanisa lihoji
Baadhi ya miradi ambayo Koda anadai inaonewa wivu na kiongozi huyo, ni Seminari ya Chanjale, shule za Dido, Vumari, Kandoto, Mother Theresa of Calcutta na nia yake ya kutaka kujenga chuo kikuu jimboni kwake.
Uongo uongo,
Chanjale seminari na Dido vilikuwepo zamani sana miaka ya 1984 wakati huo koda alikuwa seminari anasoma level ya chini kabisa.wakati huo askofu Josephati Lebulu ndiye alikuwa askofu na mwanzilishi wa hizi seminari jimboni same.Sina kumbu kumbu na hizo nyingine
Kwa mujibu wa Askofu Koda, mafanikio makubwa yaliyopatikana katika uongozi wake ni pamoja na kusomesha mapadri 34 nje ya nchi, 19 kwa ngazi ya Shahada za Uzamivu (PhD) ni baadhi ya mambo yaliyoibua mambo yote hayo.
Si kweli kwani ni kawaida ya majimbo kusomesha mapdri hata yeye Koda alisomeshwa na wengine wengi. hata hivyo haiongezi kitu sana ikizingatiwa kazi kubwa ni kumtumikia mungu na waumini kwa unyenyekevu sio cheo au dhamana. Mapadri wengi tanzania wana phd.
Hata hivyo, pamoja na vikwazo hivyo bado anayo mipango kabambe ya baadaye ili kulifanya jimbo hilo lifikie katika hali ya kujitegemea katika suala la rasilimali watu na kutoa mchango kwa Same na taifa kwa ujumla.
waumini hutoa sadaka na zaka, jimbo kuwa tajiri inatokana na vipato vya waumini na jinsi watakavyoitikia kutoa saka na zaka, ni kazi ya jimbo kupigia kelele uongozi wa kimaendeleo wa serikali ili kuwezesha wananchi wote kuwa na maisha dhabiti ya kujitegemea na kutokana na umasikini.
Alieleza kuwa mpango wake wa kuanzisha chuo Kikuu cha Ngalekeru katika Wilaya za Same na Mwanga uko katika hatua nzuri na Chuo Kikuu cha California nchini Marekani kimekubali kuanza ujenzi huo Septemba mwaka huu.
Askofu Koda alisema kuwa mpango mwingine wa kuanzisha hospitali kubwa ambayo ingekuwa na chuo cha madaktari wilayani Mwanga ambayo ingekuwa chini ya Hospitali ya Saint Raphael ya Milano nchini Italia.
“Mipango yote hii imeibua maswali yenye wivu kwamba hizo pesa zinatoka wapi,” alisema Askofu Koda bila kusema kama fedha hizo ndizo zinazodaiwa kutoka katika dini ya mashetani kama uvumi ulivyoenezwa.
Basi aseme vyanzo vya fedha, kwani Jimbo la same ni jimbo la wakatoliki wa jimbo la same miradi yote ya kanisa duniani kote vyanzo vya fedha vipo wazi na chanzo kikubwa ni michango ya waumini na kila muumini anajua kwamba sasa tunachangia hiki au kile na kama kuna misaada inatangazwa wazi na mapato yote ya jimbo yanayotokana na miradi ya jimbo huwekwa wazi. sasa Baba askofu Koda ana maswali ya kujibu hizo fedha anatoa wapi, hatari zaidi amehusishwa kwenye biashara ya drugs, na dini ya mashetani, sijui ushiriki wake unakuwaje hapa ila anatakiwa kutoa majibu sio kujitetea
Askofu huyo alisisitiza kuwa lengo lake ni kunyanyua jamii ya Upare hasa ikizingatiwa kuwa Upare ni pakavu, hivyo mchango wa shule na miradi mingine mikubwa ingesaidia kuleta mabadiliko ya kiuchumi.
Mwandishi wa Habari wa Idara ya mawasiliano ya Jimbo, Padri Joseph Mlacha alisema taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari imepotosha umma.
“Alichoondolewa Askofu ni Mamlaka ya Jimbo tu lazima ifahamike kuwa Uaskofu Sakramenti daraja la tatu, huwa unadumu milele na ndio maana Askofu amewasiliana na wanasheria wake,” alisema.
Inakuwaje leo baba askofu Koda kwenda kwa mwanasheria ili aendelee kuwa askofu, haya sio mafundisho ya dini wala ya daraja la upadri na uaskofu, madaraja haya yanafundisha utii, kama wamekuona haufai ni haufai. Ni mafundisho ya kanisa kuwa likifungiwa duniani na mbinguni ni hivyo hivyo hakuna rufaa kwenye dini ndio maana hata maungamo hayana rufaa inaaminika ni kufunguliwa mbinguni. Sasa baba askofu umeonekana hufai kulea kondoo wa bwana ila nawe unatakiwa kulelewa, hata yesu alichukua baadhi kufuga kondoo wake hakuchukuwa wote, hata hivyo kati ya wale kumi na wawili mmoja alitemwa Yuda ambaye tamaa ilimtawala, usiogope tukae wite kwenye bench nasi tupokee somo ili tufike mbinguni juu kwa baba huko hakuna askofu wala padri hakuna tajiri wala masikini kila kitu ni mswano.
Pamoja na haya yote ulileta mshangao mkubwa sana pale ulipotangazwa kuwa wewe ni askofu mwaka 1999, nilistaajabu na sikuchelea kuamini kuwa hizi ni mbio za sakafuni. Kumbuka ulivyokuwa seminari, na kumbuka ulivyokuwa padri je uliwacha yale yote, inawezekana uliendeleza, nakushauri usiendelee kupiga kelele kwani yakiwekwa hadharani itakuwa mbaya sana. Nakutakia maisha mema ya kitume kwa ngazi yeyote ile.
__________________
Tanzania itakuwa huru wananchi wakimiliki nchi yao wenyewe sio baadhi ya wateule wachache.Haki na sheria kwa wote bila kujali rangi,cheo,na utajiri wa mtu.
The Following User Says Thank You to kinepi_nepi For This Useful Post:
Masanilo (7th June 2009)
#17 (permalink)
7th June 2009, 06:16 AM
Abdulhalim
Abdulhalim is the same voice of reason.
JF Senior Expert Member Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 3,701
Thanks: 82
Thanked 110 Times in 81 Posts
Rep Power: 29
Credits: 327,855
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Quote: kinepi_nepi
Pamoja na haya yote ulileta mshangao mkubwa sana pale ulipotangazwa kuwa wewe ni askofu mwaka 1999, nilistaajabu na sikuchelea kuamini kuwa hizi ni mbio za sakafuni. Kumbuka ulivyokuwa seminari, na kumbuka ulivyokuwa padri je uliwacha yale yote, inawezekana uliendeleza, nakushauri usiendelee kupiga kelele kwani yakiwekwa hadharani itakuwa mbaya sana. Nakutakia maisha mema ya kitume kwa ngazi yeyote ile.
ololololol...mazee inaonekana nyie ni waarabu wa Pemba.. sasa kwa nini mkuu na wewe usimwage ugali, maana baba askofu kesha mwaga mboga. Si unajua hapa ni JF where we dare to talk sense OPENLY..?
__________________
Why they don't get a ni99a like me to sing the national anthem?
#18 (permalink)
7th June 2009, 08:25 PM
Ndahani
Ndahani has no status.
Senior Member Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 219
Thanks: 14
Thanked 72 Times in 52 Posts
Rep Power: 22
Credits: 705,165
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Quote: Next Level
TEC lazima watakuwa wanajua in and out ya issue hii, haiwezekani huo ukikwaji ukawa noted Vatican wakati hapa kuna Cardinal Pengo ambaye ndio mkuu wa RC hapa Tz....so kama askofu Koda anatatizo, basi itakuwa ni mkuu wake kamrepoti kwa papa na si vinginevyo!
Kama ile habari ya mwananchi la leo iko sahihi, sidhani ni Cardinal ndo aliyemripoti.Itakuwa ni huko huko same maana wanahisi ni freemason member. Ninachohisi, kuna makubwa zaidi yapo yafichwafichwa. Time will tell
#19 (permalink)
7th June 2009, 08:30 PM
Ndahani
Ndahani has no status.
Senior Member Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 219
Thanks: 14
Thanked 72 Times in 52 Posts
Rep Power: 22
Credits: 705,165
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Quote: kinepi_nepi
Pamoja na haya yote ulileta mshangao mkubwa sana pale ulipotangazwa kuwa wewe ni askofu mwaka 1999, nilistaajabu na sikuchelea kuamini kuwa hizi ni mbio za sakafuni. Kumbuka ulivyokuwa seminari, na kumbuka ulivyokuwa padri je uliwacha yale yote, inawezekana uliendeleza, nakushauri usiendelee kupiga kelele kwani yakiwekwa hadharani itakuwa mbaya sana. Nakutakia maisha mema ya kitume kwa ngazi yeyote ile.
Yapi hayo mkuu tuhabarishe...Kuna habari kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa kanisa katoliki TZ, kuna freemasons.Is it one of them
Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!
Vatican yamvua jimbo Askofu
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 6th June 2009 @ 00:00 Imesomwa na watu: 3626; Jumla ya maoni: 32
Habari Zaidi:
• Basi laua watano Dodoma
• Mkutano wa Bunge waanza Dodoma
• Mahalu akwama, arudishwa Kisutu kujitetea
• Zitto kuishitaki HabariLeo
• Shahidi EPA augua ghafla kortini
• JK akutana na mabalozi wa Cuba, Saudia
• UDSM yafunga barabara hosteli Mabibo
• JK kuwahutubia wabunge kesho
• Watu 86 mbaroni uvamizi shambani kwa Kimaro
• Padri akemea ngono UDSM
• Wanne kizimbani kwa kuua albino
• Rasilimali fedha yatesa, yavigawa vyama
• Nyumba 12 zaongezwa fidia Mbagala
• Mhina atwaa kiti Wazazi CCM
• Kanisa Katoliki Same laelekea pabaya
• Mbunge Kimaro majaribuni tena
• Mauaji yafanyika hosteli za Mabibo
• Wafanyakazi TTCL ‘waisusia’ menejementi
• Kikwete aionya Jumuiya ya Wazazi
• Mabomu yadhibitiwa, 17 hoi kwa mshtuko
Habari zinazosomwa zaidi:
• Balaa lingine kwa Chenge
• Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
• Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
• Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
• ‘Housigeli’ anataka kuniharibia ndoa
• Vatican yamvua jimbo Askofu
• Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
• Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
• Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
• JK apigilia msumari wa mwisho Dowans
Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Vatican nchini Italia yamemnyang’anya Jimbo, Askofu wa Same, Jacob Koda, baada ya kubainika kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa hilo. Balozi wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Joseph Chennoth alithibitisha Dar es Salaam jana kuwa Askofu Koda ametakiwa na kanisa kuacha utume huo mara moja na kupumzika ama kufanya shughuli binafsi za mafunzo.
Hata hivyo, Balozi huyo wa Papa hakufafanua zaidi kiini cha kuondolewa kwa Askofu Koda na ni mafundisho gani ya kanisa aliyokiuka, ingawa taarifa kutoka Same zilizolifikia gazeti hili jana zilidai kuwa amejiingiza katika mafundisho yaliyo kinyume cha imani ya Kikristo na ya Kanisa Katoliki.
Sambamba na kuondolewa Askofu Koda katika jimbo hilo lililoko mkoani Kilimanjaro, pia taarifa ya Askofu Mkuu Chennoth kwa vyombo vya habari jana ilieleza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo kuwa Msimamizi wa Kitume wa jimbo hilo hadi hapo litakapopata askofu mwingine.
Padri Kimaryo kabla ya uteuzi huo alikuwa Paroko wa Parokia ya Kipawa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. “Tumemshauri kuondoka jimboni na Padri Kimaryo ataongoza jimbo hilo kwa muda mpaka hapo Baba Mtakatifu atakapomteua askofu mpya,” alisema Askofu Mkuu Chennoth.
Aidha, taarifa hiyo ya Ubalozi wa Vatican hapa nchini kwa vyombo vya habari iliyotolewa kwa gazeti hili na Katibu Mtendaji wa Habari wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Revocatus Makonge, ilithibitisha uteuzi wa Padri Kimaryo katika jimbo hilo la Same.
“Mwakilishi wa Baba Mtakatifu hapa nchini anayo heshima kutangaza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo (CSSP) ambaye ni Paroko wa Kipawa, Dar es Salaam kuwa Msimamizi wa Kitume mwenye mamlaka kamili na chini ya utii kwa kiti kitakatifu wa Jimbo Katoliki la Same,” ilieleza taarifa hiyo iliyotolewa Mei 30, mwaka huu. Hata hivyo, Padri Makonge alisema TEC haina taarifa zozote za kina kuhusu suala hilo na kueleza kuwa wanachofahamu ni uteuzi wa Padri Kimaryo kupitia taarifa hiyo ya Mwakilishi wa Papa nchini.
Taarifa zaidi kutoka katika ofisi za Ubalozi wa Vatican Dar es Salaam zilieleza kuwa Padri Kimaryo atakabidhiwa jimbo hilo kwa usimamizi rasmi kesho katika Ibada ya Misa itakayoongozwa na Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika Kanisa Kuu la Same na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa kanisa hilo akiwamo Askofu Mkuu Chennoth.
Bila kufafanua zaidi, Askofu Mkuu Chennoth alisema Kanisa Katoliki huwa lina utaratibu wa kumteua Msimamizi wa Jimbo linapotokea hitaji kama hilo hivyo ni kitu cha kawaida ndani ya kanisa pindi panapoonekana umuhimu wa kufanya hivyo.
Askofu Koda aliteuliwa na Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa II kuwa Askofu Mpya wa Same Septemba 1999 kuchukua nafasi ya Askofu Josephat Lebulu aliyehamishiwa katika Jimbo Kuu la Arusha.
Padri Kimaryo ambaye ni Padri wa Shirika la Roho Mtakatifu alitunukiwa Udaktari wa Sheria nchini Roma katika Chuo Kikuu cha Pontifical Gregorian na pia amefanya kazi ya kitume kama mshauri kwa miaka sita katika nyumba yao ya shirika nchini humo.
Kwa utaratibu wa Kanisa Katoliki, Papa humteua Msimamizi wa Jimbo ambaye kikanisa ni kama Mtawala ambaye hufanya kazi hiyo, mara kadhaa hutumikia katika eneo ambalo halijapewa hadhi ya Jimbo au katika Jimbo lisilo na Askofu au tatizo kama lililotokea. Katika sheria za kanisa (Canon Law), utawala wa aina hiyo unampa mamlaka mtawala kufanya kazi zote za kiaskofu isipokuwa kuuza mali yoyote ya jimbo na kutoa daraja la upadrisho.
Jumal Maoni (32)
Maoni Tunaupongeza uongozi wa kanisa Katholiki lakini ni vizuri kuwa wazi huyo aliyefukuzwa kafanya nini? Labda kaonewa!
Maoni mimi naona taarifa hizi haziko sahihi kwa sababu hawajaweka wazi sheria iliyokiukwa, na hii ni kama kumnyima haki Askofu Koda au ni kuficha uovu wa kanisa au kwa namna nyingine kosa walilo mtuhumu linakosoa kanisa Katoliki na inaonekana hawajawa tayari kukosolewa mahubiri finyu wanayohubiri ambayo hayalingani na Biblia ilivyoandikwa
Maoni Hizi ni dalili tosha za mwisho wa dunia. Tuombe Mungu atusaidie.
Maoni Kwanza ninalishukuru kanisa kwa hatua iliyozichukua.
Lakini ninaomba pia kanisa liwe wazi kueleza sababu za msingi zilizo fanywa na mtumishi huyo wa Mungu ili iweze kuwa fundisho kwa wengine pia kulinda heshima na uadilifu wa kanisa kwa ujumla.
Maoni Naomba ufafanuzi zaidi juu ya hilo, kosa lake ni lipi na kanuni ya kanisa ni kusamehe? Ni bora kujua kosa kuliko kuficha maana wengine hawatajifunza.
Mungu anatuasa wanadamu kusamehe ina maana dhambi yake ni kubwa vipi hata asisamehewe?
Maoni Mi nadhani wangetueleza mafundisho gani ambayo amekiuka ya kikristo,isije ikawa na ubabe tu wa KIIMANI
Maoni Naomba Kanisa liwapitie Maaskofu wote . Mchunguzeni kwanza Askofu Josephat Lebulu wa Arusha. siku ya Pentekoste pale st. Theresa aliongoza ibada ambayo ilikiuka maadili ya ukatoliki kabisa ikawa kama ya kilokole (pentekoste) kila mtu anajifanya kashukiwa na roho mtakatifu zikaimbwa nyimbo ambazo si za kikatoliki. Tunaacha ukatoliki tunaenda kwenye madhehbu mengine
Maoni Tumuombe Mungu alisimamie kanisa lake. Shetani analitikisa lakini litasimama imara.
Maaskofu tujifunze kwa mifano hii. Atakayechezea nafasi yake atanyang'anywa.
Ikiwa maaskofu wanakuwa wazushi na wazinzi, je kanisa linakwenda wapi?
Asante Baba Mtakatifu kwa kuondoa mapadre na maaskofu wasiofaa.
Je walutheri, Waangalikana na madhehebu mengine ya Kikristo mnajifunza nini kwa hili la Askofu Jakob Koda. Tunajua wapo viongozi wa kanisa wamejiingiza kwenye uzinzi, wizi, biashara na hata ushirikina.
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe.
Waumini
Jimbo la SAME
Maoni Kwa Jina la Allah mwingi wa rehema mwenye kuneemesha neema kubwa na mwenye kuneemesha neema ndogo.
Kwa jacob Koda,
Ushauri wangu kwako wewe ni kukubali Uislam. Kubali Uislam na utapata amani (ya dunia na akhera) na Allah atakupa malipo ya aina mbili.Ukikataa basi utajibebea madhambi yako na ya wale wanaokufuata.
Quran 3:64 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu (Wakristo na Mayahudi)! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu".
Maoni maskofu wa ainahiyo wako wengi hakuna mafundisho yanayo tolewa siku hizi ni kufatilia makanisa mengine na kwamba hata huku kwetu wapo tena hata mashehe wamemiliki misikiti kama mali yao . hata mimi naunga mkono vatcan inakuaje kwamba mchungaji au padri wanaendesha ibada huku waumini wamevalia mavazi mafupi kiasi kwamba hata anapoinama kusujudu mgongo unabaki wazi na kusababisha hata kwa wale wanaokua wamejifunga shanga zionekane kwa watu wasiohusika hata mbele za mungu ni uchafu. chukulia madhehebu ya kiroho yanay0fanya maombezi hufikia wakati waumini kuanguka chini huku kukiwa na umati mkubwa. maoni yangu viongozi wanaotangaza neno la mungu wawe makini wasije wakaongoza kondoo wa mungu ambao mungu atakuja kuahukumu kwenda jehanam NI MIMI MUAMINIFU KATIKA BWANA .MOURICE .TARIME
Maoni Kwanzakabisa nashukuru uongozi wa kanisa catholic kwa kua macho kuendelea kuchunguza mienendo ya watumishi wake,maranyingi tumekua tukisikia vituko wafanyavyo hao mapadri na maasikofu mpaka unajiuliza hao watu waliingia kwenye fani hiyo kwa kulazimishwa au vipi,kama atakua ameonekana na makosa basi wamuondoe ajichanganye mitaani.Maana wanakera sana kusimama madhabauni na kuongea maneno ya busara lakini wakitoka nje wanamega wake za watu,visichana vidogodogo nawengine kuwatia mimba wanafunzi.Ninawasiwasi nahuyo ASKOFU anaweza kua nae kakoboa vilevile nae akabolewe kwa njia nyingine Ahasanteni.
Maoni MAONI TUNGETOA KWA USAHIHI ZAIDI KAMA KOSA LAKE LINGEWEKWA WAZI,ILA KANISA HILI LINAWEZA LIKAKOSA MSIMAMO KWA VILE PIA LENYEWE HALISIMAMI KTK NENO, MFANO KUWEKA BAYANA KWAMBA POMBE SIO DHAMBI,JAMANI MAANDIKO YANAHITAJI UFAFANUZI WA KINA KWAKUWA NENO LASEMA 'ANDIKO HUUA LAKINI ROHO HUHUISHA'NA KAMA POMBE SIYO DHAMBI BEBA CHUPA YA BIA KATOE SADAKA,KWA UGUMU UTAKAOUSIKIA NDIO MAANA YA NENO HILI KWAMBA 'ANDIKO HUUA BALI ROHO HUHUISHA'MAANA YAKE KWAMBA YAPO MAANDIKO AMBAYO YANAHITAJI UFAFANUZI KTK ROHO SIYO TU KULIBEBA ANDIKO KAMA LILIVYO,HATA MTUME PETRO ALIKIRI KTK [2PETRO 3;16-17] WAZI KWAMBA KTK MAANDIKO YAPO MAMBO AMBAYO NI VIGUMU KUELEWA NAYO NA WATU WASIO NA ELIMU YA MUNGU HUYAPOTOSHA MUWE WAANGALIFU WAKATOLIKI FIKIRIE TENA KUHUSU KURUHUSU POMBE KITU AMBACHO KIKIMWINGIA KINAMBADISHA MAWZO NAKUFANYA CHOCHOTE.
Maoni In nominos patres et fillis et Sanctus spiritum, amesema baba mtakatifu kuna kitu ndani yake na iwe hivyo kwani Canon Laws zipo wazi na zinatoa mamlaka hayo kwake...
Ni matumaini ya wakristu wengi kuwa Askofu ajaye atakuwa mwema na mwenye kuheshimu ukristu na sheria takatifu za kanisa. Tuamini hivyo na iwe hivyo...
Maoni huu ni uonevu tu mbona kafanya mambo mengi mazuri jimboni. acheni wivu wa madaraka. msilete siasa katika kanisa la mungu
Maoni Sawa unamvua mtumishi/mtu madaraka na kueleza uma pasipo kueleza kwa kina chanzo cha kuvuliwa madaraka ama tuseme wito ambao hukaa ndani ya moyo. Ni bora walioweka mambo haya hadharani wangeweka na sababu ya tukio zima kwa ujumla wake ili waumini wasibaki na maswali yasiyo kuwa na majibu kutoka yanapostahili kwani tunaacha mwanya wa kuoneza majungu na kuchafuliana majina pasipo sababu.
Nawakilisha
William
Maoni Sawa unamvua mtumishi/mtu madaraka na kueleza uma pasipo kueleza kwa kina chanzo cha kuvuliwa madaraka ama tuseme wito ambao hukaa ndani ya moyo. Ni bora walioweka mambo haya hadharani wangeweka na sababu ya tukio zima kwa ujumla wake ili waumini wasibaki na maswali yasiyo kuwa na majibu kutoka yanapostahili kwani tunaacha mwanya wa kuoneza majungu na kuchafuliana majina pasipo sababu.
Nawakilisha
William
Maoni Umefika wakati kanisa likawa lina tueleza ukweli wa makosa yalio tendwa ili nasi waumini tukiona mtumishi mwingine anatenda tujuwe hili nikosa. lakini kueleza makosa kwa ujumla 'kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa' haitoshi. je makosa hayo ni yapi? baba wa taifa alisha sema mficha maradhi kilio kitamuumbua!
Tubadilike Kanisa Katoliki!!
Maoni kainisa katoliki linatakiwa kuwa makini sana kwani linamtazamo wa kiuchumi zaidi kuliko kiroho .kwani Waumini waleo niwadadisi wa mambo kuliko zamani ukiweka sheria watataka kujua ni kwanini tofauti nazamani walikua wanatii kwakutambua kua sheria ya kanisa nisheriaya mungu na hofu juu ya mungu imepungua kwa binadamu wa leo Kwahiyo kanisa lina hitaji kubadilika kutokana na mtazamo wakidunia
Kwa hiyo swala la kiroho linaonekana kama kigezo tu
Hata wachunga kondoo wa leo wanakwenda kinyume na maadili kutokana sera yenyewe kutokuwa wazi kwani kuna mambo mengiyamefichika wakitambua ukweli wake nndipo maadili yanapo vungika.Mfano. wahumini wa mwanzo hawakuruhusiwa kusoma biblia
hata ukisoma ni inglitu au agano jipya wazamani hawakuhoji ila wasasa niwadadisi sana .Tazama sasa waumini wengi hajui biblia na wanapo kabiliana na wanaojua wana potea kumbe nikuto kuelewa tu
Maoni Kanisa katoliki linamisingi mikuu mingi ikiwa ni pamoja na kutetea imani ya kikatoliki kama sala ya nasadiki inavyosisitiza
naafiki uamuzi wa baba mtakatifu kumteua mwingine ila nashauri ni vema tujue hasa askofu koda amekiuka kipi kwani mpaka sasa tupo kwenye mafumbo either baadhi ya wengine pengine watadhani kaonewa
Maoni Tunaomba tujulishwe huyu askofu Jacob Koda kakiuka mafundisho gani ya imani ya kanisa ? Jamani kuweni wawazi kwa waumini. mnatuficha nini ? Twambie tujue na tumwombee mtumishi wa bwana apate msamaa kwa Mungu , atubu na kupata wokovu.Kumbuka kuwa sisi sote tu wadhambi! yatupasa kutubu dhambi zetu na kuziacha kabisa ili tupate uzima wa milele.
Maoni Askofu koda pole kwa yaliyokusibu.kukosea na kutubu ndio mwanzo wa kusimama upya kiimani. koda kama ni uzinzi, au umetenda kosa kama alilofanya fr: kimaro, kuuza mali za kanisa.tubu
Maoni Askofu koda pole kwa yaliyokusibu.kukosea na kutubu ndio mwanzo wa kusimama upya kiimani. koda kama ni uzinzi, au umetenda kosa kama alilofanya fr: kimaro, kuuza mali za kanisa.tubu
Maoni taarifa hii ni ya kusikutisha na isitoshe inaamsha shauku ya kujua ni nini alichofanya kikubwa hadi kunyang'anywa Jimbo.
Maoni huwezi kumuhukumu mtu kwa kosa lisilo julikana lazima kujua kosa ndipo achukuliwe hatua ya kufukuzwa sikubaliani na kufukuzwa kwake mtu huyo lazima kujua kosa ndipo afukuzwe hatua kali zichukuliwe kuzalilishwa kwa askofu huyo nipotayari kua shahidi hata mbele za bwana kua hatujui kosa alilo lifanya zaidi ya wao kumuekea kashfa askofu huyo zaidi tunacho taka kujua kosa gani kwani hata yesu alisamehe watu bada yakujua kakosa kama muhalifu basi asemwe sinamengi ila maoni yatakamilika wakati tutajua kosa lake? napingavita sio vizuri kumtangazia mtu ubaya bila ya kujua kosalake hatari sana nduguzangu wa kikristo
yosia chimwai
kutoka zanzibar
Maoni Kanisa katoliki lina maongozi yake na walio ndani wanajua na km hawajui ni kosa lao. Yaliyotokea kwa askofu ni halali yake kwani alipoamua kazi ya kichungaji alitafakari kwanza.
Km kanisa halikumtendea haki anayo maamuzi mtendewa, na hii itategemea na maongozi ya kanisa.
Ni hiyari mtu kufuata akitakacho kwani dini si jambo jepesi km inavyodhaniwa na wengi kiasi imefikia mtu anasema mimi ni wa peponi na wewe ni wa motoni, ahsante kanisa katolki
Maoni unajua imani hizi za kuletewa zina matatizo yake na haya ni mwanzo tu.
Huyu askofu nisingependa kusena kuwa ana makosa au lah. sasa ametoa baraka kwa watu kibao je ndiyo kusema kuwa waliopewa baraka naye zimekuwa batili? Je mafundisho yake je?
Mimi ningependa kuwashauri watanzania wenzangu ni bora mkabaki kuwa Watanzania badala ya kuwa wafuasi wa Imani ambazo hakuna hata mmoja wetu mwenye mamlaka nazo.
Eti mimi ni muumini ambaye ninaamini Mungu lakini binadamu ndiyo wanaotoa hukumu kuwa hapa nimemkosea Mungu. Tufanye ibada tumuabudu Mungu achana na dini. zinapotosha kwani hawa wanaotuongoza ni 100% binadamu, wana mapungufu yao.
Hata huyo Papa, pia ana mapungufu.please, turudi katika imani za asili tuishi.
Maoni Wakristo wenzangu, kanisa la katoliki lina misingi na taratibu zake za kuongoza na kuwaweka wakfu na kuwaondolea wakfu watumishi wake. Hili lililompata Askofu lisitumike kama mwanya wa kukejeli imani ya kikatoliki au imani nyingine. Hawa viongozi wa imani mbalimbali tulizonazo hawakushuka kutoka juu, bali ni binadamu kama sisi, wenye miili dhaifu kama yetu na wanaitafuta mbingu kama wewe na mimi. Hawa ni kama madereva tu ambao gari likianguka na yeye anakufa au kujeruhiwa kama abiria yeyote. Hivyo kwa waumini bora huu ni wakati wa kuwaombea wacha Mungu wote wadumu kuwa imara katika imani hiyo na siyo kutumia udhaifu wa viongozi wa kidini kama kigezo cha kuchafua imani. Kama Askofu huyo kaonewa, yeye mwenyewe kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo atakata rufaa. Tuwaache viongozi wa kanisa hilo wafanye kazi yao.
Mshauri wa watoa maoni
Ireland
Maoni pole askofu koda kwa yaliokusibu, usijali yatapika.ulichokosa tubu na mungu atakusamehe,ila kanisa katolilik msiwe mafya kiasi hicho elezen ukwel alichokosa.Najua umefanya mema mengi na mabaya mengi koda il a si wewe tu ni wengi mapadr na maaskof wamefanya makosa, mbona wao wamesamehewa?nataman kuandika makala kutokana na tukio hili kwan limenigusa sana na ukizingatiwa mimi ni mkatoloki wa damu, ila maadil ya kikatolik yanakandamiza baadhi ya watu,kuen wakwel semen makosa yake.
kuwen wawaz,wote ni binadamu na tunakosa ila tusameheane.
Maoni Waweke wazi sababu ya kufuzwa kama walivyoweka wazi kumuachisha. Mimi sidhani kama ni sawa walichofanya kwani hawa viongozi wetu wa RC... MHH! Wananishangaza sana na matendo yao, Kama kweli Mungu yupo, basi nimeamini usemi usemao "Mungu si Athumani"
Kikubwa... "Asiyekuwa na dhambi basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwenzake..."
Inasikitisha kwakweli, ingawa sijui alichokifanya, ila hawa viongozi wa RC sio wote wenye matendo mema.
Maoni Watu wanashauku sana kujua makosa ya wenzao, halafu sijui ili iweje.
Mimi naona si vema wala busara kung'ang'ania kujua makosa ya wengine wakati sisi wenyewe tuna makosa yetu, tena mengine yanayotia hata kinyaa mbele za Mungu na wenzetu. Tunapenda sana kuwa mashabiki wa makosa ya wenzetu ili kuwanyoshea vidole.
Kanisa linafanya vema kwa kutotangaza makosa ya Askofu Koda ili kuondoa unyanyapaa wa watu wanaopenda kuwatupia wenzao mawe kana kwamba ni wakosefu wakubwa kuliko wao.
Yatosha mtu kujua dhambi zako mwenyewe na kuomba msamaha wa Mungu kwa ajili yako mwenyewe. Na Askofu Koda lazima anayajua makosa yake mwenyewe (au amejulishwa na Kanisa makosa yake) na tunamuombea Mungu amjalie neema ya kuyatubia.
Kwa Kanisa kufikia uamuzi mkubwa hivyo ni lazima limefanya uchunguzi wa kina (hata pengine kujadiliana na mhusika kwa kina) na limejiridhisha na hali ya mambo. Zaidi sana limeona madhara yake kwa Kanisa la Same siku za baadae. Tuliamini Kanisa.
Wakati tunapong'ang'ania kujua makosa ya wengine tukumbuke maneno ya Bwana Yesu "Anayejiona hana dhambi awe wa kwanza kumtupia huyu mwanamke jiwe" (Yohane 8:7).
Vilevile tuache tabia ya Kulitupia lawama Kanisa zima kwa makosa ya baadhi ya waamini wake; kama vile hatuwezi kuwatupia lawama mitume wote kwa kosa la Yuda Iskariote. Kanisa haliachi kuwa la kweli kwa vile miongoni wa waamini wake ni wadhambi! Wadhambi ktk Kanisa walikuwepo tangu karne ya kwanza (rejea Barua za Mitume katika Biblia hasa za Mtume Paulo na Pia Kitabu cha Ufunuo; nyaraka kwa makanisa saba). Na ndio maana kuna siku ya hukumu ambapo uzuri na ubaya wa kila mtu utafunuliwa. Na miongoni mwetu tunaofunua sana midomo yetu tutaumbuliwa siku ile. Basi tuache kushabikia makosa ya wenzetu, yetu yanatutosha. Tuache kulaumiana na kuhukumiana kama alivyotuasa Bwana Yesu mwenyewe.
Bwana atujalie Roho wa Hekima na Akili tujue nafasi zetu katika njia ya wokovu; na tumwachie Mungu yaliyo ya Mungu.
Maoni Mimi ni muumini katika jimbo katoliki la Same Parokia ya Yesu Mwenye Huruma - Mwanga, imeniuma sana. Binafsi naona taarifa hizi haziko sahihi na maoni mengi yanayotolewa huenda nayo yasiwe sahihi kwa sababu hawajaweka wazi maadili yaliyokiukwa, na hii ni kama kumnyima haki Askofu Koda au ni kuficha uovu wa kanisa au kwa namna nyingine kosa walilo mtuhumu linakosoa kanisa Katoliki na inaonekana hawajawa tayari kukosolewa.
Mimi naafiki uamuzi wa Baba Mtakatifu kumteua Msimamizi mwingine ila nashauri ni vema tujue hasa askofu Koda amekiuka kipi kwani mpaka sasa tupo kwenye mafumbo either baadhi ya wengine pengine watadhani kaonewa na makosa hayo hayo yanaweza kuendelea kujitokeza.
Maoni kanisa katoliki lina tatizo kubwa la usiri na hapa linapaswa kubadilika.makosa ya askofu koda hayakuwekwa wazi hata hivyo kuna tatizo la ukosefu wa maadili kwa baadhi ya watumishi wake
GAZETI LA HABARI LEO JUU YA ASKOFU KODA
Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Vatican nchini Italia yamemnyang’anya Jimbo, Askofu wa Same, Jacob Koda, baada ya kubainika kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa hilo. Balozi wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Joseph Chennoth alithibitisha Dar es Salaam jana kuwa Askofu Koda ametakiwa na kanisa kuacha utume huo mara moja na kupumzika ama kufanya shughuli binafsi za mafunzo.
Hata hivyo, Balozi huyo wa Papa hakufafanua zaidi kiini cha kuondolewa kwa Askofu Koda na ni mafundisho gani ya kanisa aliyokiuka, ingawa taarifa kutoka Same zilizolifikia gazeti hili jana zilidai kuwa amejiingiza katika mafundisho yaliyo kinyume cha imani ya Kikristo na ya Kanisa Katoliki.
Sambamba na kuondolewa Askofu Koda katika jimbo hilo lililoko mkoani Kilimanjaro, pia taarifa ya Askofu Mkuu Chennoth kwa vyombo vya habari jana ilieleza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo kuwa Msimamizi wa Kitume wa jimbo hilo hadi hapo litakapopata askofu mwingine.
Padri Kimaryo kabla ya uteuzi huo alikuwa Paroko wa Parokia ya Kipawa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. “Tumemshauri kuondoka jimboni na Padri Kimaryo ataongoza jimbo hilo kwa muda mpaka hapo Baba Mtakatifu atakapomteua askofu mpya,” alisema Askofu Mkuu Chennoth.
Aidha, taarifa hiyo ya Ubalozi wa Vatican hapa nchini kwa vyombo vya habari iliyotolewa kwa gazeti hili na Katibu Mtendaji wa Habari wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Revocatus Makonge, ilithibitisha uteuzi wa Padri Kimaryo katika jimbo hilo la Same.
“Mwakilishi wa Baba Mtakatifu hapa nchini anayo heshima kutangaza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo (CSSP) ambaye ni Paroko wa Kipawa, Dar es Salaam kuwa Msimamizi wa Kitume mwenye mamlaka kamili na chini ya utii kwa kiti kitakatifu wa Jimbo Katoliki la Same,” ilieleza taarifa hiyo iliyotolewa Mei 30, mwaka huu. Hata hivyo, Padri Makonge alisema TEC haina taarifa zozote za kina kuhusu suala hilo na kueleza kuwa wanachofahamu ni uteuzi wa Padri Kimaryo kupitia taarifa hiyo ya Mwakilishi wa Papa nchini.
Taarifa zaidi kutoka katika ofisi za Ubalozi wa Vatican Dar es Salaam zilieleza kuwa Padri Kimaryo atakabidhiwa jimbo hilo kwa usimamizi rasmi kesho katika Ibada ya Misa itakayoongozwa na Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika Kanisa Kuu la Same na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa kanisa hilo akiwamo Askofu Mkuu Chennoth.
Bila kufafanua zaidi, Askofu Mkuu Chennoth alisema Kanisa Katoliki huwa lina utaratibu wa kumteua Msimamizi wa Jimbo linapotokea hitaji kama hilo hivyo ni kitu cha kawaida ndani ya kanisa pindi panapoonekana umuhimu wa kufanya hivyo.
Askofu Koda aliteuliwa na Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa II kuwa Askofu Mpya wa Same Septemba 1999 kuchukua nafasi ya Askofu Josephat Lebulu aliyehamishiwa katika Jimbo Kuu la Arusha.
Padri Kimaryo ambaye ni Padri wa Shirika la Roho Mtakatifu alitunukiwa Udaktari wa Sheria nchini Roma katika Chuo Kikuu cha Pontifical Gregorian na pia amefanya kazi ya kitume kama mshauri kwa miaka sita katika nyumba yao ya shirika nchini humo.
Kwa utaratibu wa Kanisa Katoliki, Papa humteua Msimamizi wa Jimbo ambaye kikanisa ni kama Mtawala ambaye hufanya kazi hiyo, mara kadhaa hutumikia katika eneo ambalo halijapewa hadhi ya Jimbo au katika Jimbo lisilo na Askofu au tatizo kama lililotokea. Katika sheria za kanisa (Canon Law), utawala wa aina hiyo unampa mamlaka mtawala kufanya kazi zote za kiaskofu isipokuwa kuuza mali yoyote ya jimbo na kutoa daraja la upadrisho.
Source: Habari Leo
GAZETI LA MWANANCHI
LINAELEZA KAMA IFUATAVYO
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Askofu aliyevuliwa madaraka Same akana kushiriki Freemason
Jimbo Katoliki la Same, amejitokeza hadharani na kuweka wazi na kiini cha hatua hiyo huku akikanusha taarifa zilizozagaa kuwa anashiriki dini ya mashetani.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwanachi Jumapili jana alisema, “Sijashiriki na sitashiriki dini hiyo, lakini wanaozusha hayo mambo wajue muosha naye huoshwa, hivyo walivyonisingizia siku sio nyingi vitawarudi”.
Kulingana na taarifa hizo, kuvuliwa madaraka kwa Askofu Koda kumetokana na madai ya kujihusisha na dini ya kishetani (Freemason) na kwamba mwenendo huo ulibainika katika uchunguzi wa kishushushu uliofanywa na kanisa kwenye makazi ya askofu huyo.
Lakini taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Vatican jijini Dar es salaam juzi na kukaririwa na vyombo vya habari haikufafanua kisa cha kuondolewa kwake mamlaka zaidi ya kusema tu kuwa amebainika kukiuka mafundisho ya kanisa hilo.
Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo, Paroko wa Parokia ya Kipawa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam kuwa Msimamizi wa Kitume wa jimbo hilo hadi hapo litakapopata askofu mwingine.
Padri Kimaryo anakabidhiwa jimbo hilo kwa usimamizi rasmi leo katika Ibada ya Misa itakayoongozwa na Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika Kanisa Kuu la Same na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa kanisa hilo akiwamo Balozi wa Vatican, Askofu Mkuu Joseph Chennoth.
Askofu Koda ambaye hata hivyo alisisitiza kuwa yeye bado ni askofu hadi milele kwa kuwa alichoondolewa ni mamlaka ya kuongoza jimbo, alifafanua kuwa hatua hiyo dhidi yake inatokana na uchu wa madaraka, chuki binafsi na wivu wa maendeleo aliyoleta katika jimbo hilo.
Alisema wenye uchu wa madaraka na ambao wamejilimbikizia mali wameungana na askofu mmoja mwandamizi kwenye Kanda ya Kaskazini kumchafua.
Kwa mujibu wa Koda, Askofu huyo anadaiwa kujenga chuki binafsi na wivu na aliouonyesha waziwazi wakati yeye (Koda) alipomwalika Rais Kikwete kufungua shule ya wasichana ya Kandoto.
Kabla ya kuzungumza na gazeti hili ilimlazimu kwanza kutoa dukuduku lake kuwa yeye hajalikimbia jimbo hilo.
“Kwanza napenda kusema kwamba si kweli kwamba sijulikani nilipo kama gazeti lilivyosema (sio Mwananchi) kama ningekuwa sijulikani nilipo kanisa lingepeleka taarifa polisi nao wangeanza kunitafuta,” alisema Askofu Koda.
Askofu Koda alisema kwa wiki nzima amekuwa jimboni humo akiendesha ibada na kwamba, jana asubuhi aliendesha ibada katika kanisa la Mtakatifu Bernard na kwamba hawezi kulikimbia jimbo hilo kamwe.
Akifafanua zaidi kile anachodai ni wivu dhidi yake, alisema “Kiongozi wa kanisa (anamtaja) alionyesha kutofurahishwa na mimi kumwalika Rais Kikwete na hata kabla ya siku yenyewe aliniuliza kwanini nimemwalika rais ambaye ni Muislamu kufungua shule ya kanisa,” alisema Askofu Koda.
Askofu huyo anasema alikataa ushauri wa kiongozi huyo na tangu wakati huo alianza kumzulia mambo mengi akihoji zilikopatikana fedha zilizotekeleza miradi mikubwa jimboni humo.
Baadhi ya miradi ambayo Koda anadai inaonewa wivu na kiongozi huyo, ni Seminari ya Chanjale, shule za Dido, Vumari, Kandoto, Mother Theresa of Calcutta na nia yake ya kutaka kujenga chuo kikuu jimboni kwake.
Kwa mujibu wa Askofu Koda, mafanikio makubwa yaliyopatikana katika uongozi wake ni pamoja na kusomesha mapadri 34 nje ya nchi, 19 kwa ngazi ya Shahada za Uzamivu (PhD) ni baadhi ya mambo yaliyoibua mambo yote hayo.
Hata hivyo, pamoja na vikwazo hivyo bado anayo mipango kabambe ya baadaye ili kulifanya jimbo hilo lifikie katika hali ya kujitegemea katika suala la rasilimali watu na kutoa mchango kwa Same na taifa kwa ujumla.
Alieleza kuwa mpango wake wa kuanzisha chuo Kikuu cha Ngalekeru katika Wilaya za Same na Mwanga uko katika hatua nzuri na Chuo Kikuu cha California nchini Marekani kimekubali kuanza ujenzi huo Septemba mwaka huu.
Askofu Koda alisema kuwa mpango mwingine wa kuanzisha hospitali kubwa ambayo ingekuwa na chuo cha madaktari wilayani Mwanga ambayo ingekuwa chini ya Hospitali ya Saint Raphael ya Milano nchini Italia.
“Mipango yote hii imeibua maswali yenye wivu kwamba hizo pesa zinatoka wapi,” alisema Askofu Koda bila kusema kama fedha hizo ndizo zinazodaiwa kutoka katika dini ya mashetani kama uvumi ulivyoenezwa.
Askofu huyo alisisitiza kuwa lengo lake ni kunyanyua jamii ya Upare hasa ikizingatiwa kuwa Upare ni pakavu, hivyo mchango wa shule na miradi mingine mikubwa ingesaidia kuleta mabadiliko ya kiuchumi.
Mwandishi wa Habari wa Idara ya mawasiliano ya Jimbo, Padri Joseph Mlacha alisema taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari imepotosha umma.
“Alichoondolewa Askofu ni Mamlaka ya Jimbo tu lazima ifahamike kuwa Uaskofu Sakramenti daraja la tatu, huwa unadumu milele na ndio maana Askofu amewasiliana na wanasheria wake,” alisema.
Source: Mwananchi
MAONI YA WANANCHI MBALI MBALI
Akifafanua zaidi kile anachodai ni wivu dhidi yake, alisema “Kiongozi wa kanisa (anamtaja) alionyesha kutofurahishwa na mimi kumwalika Rais Kikwete na hata kabla ya siku yenyewe aliniuliza kwanini nimemwalika rais ambaye ni Muislamu kufungua shule ya kanisa,” alisema Askofu Koda.
No! No! Kanisa haliwezi kumkataa kiongozi wa nchi kwani imeandikwa watii viongozi, ila labda kwa sababu Kikwete analea mafisadi na hivyo kuwa mfano mbaya kwa waumini wa dini anaweza kukataliwa asihudhurie mikusanyiko ya kanisa kwani itakuwa picha mbaya kuenzi wahalifu na haya sio mafundisho ya kanisa, inampasa Kikwetekukusanyika kwenye makundiya akina Rostam, lowasa, chenge nk.
Askofu huyo anasema alikataa ushauri wa kiongozi huyo na tangu wakati huo alianza kumzulia mambo mengi akihoji zilikopatikana fedha zilizotekeleza miradi mikubwa jimboni humo.
Kama chanzo cha fedha hakijulikani ni lazima kanisa lihoji
Baadhi ya miradi ambayo Koda anadai inaonewa wivu na kiongozi huyo, ni Seminari ya Chanjale, shule za Dido, Vumari, Kandoto, Mother Theresa of Calcutta na nia yake ya kutaka kujenga chuo kikuu jimboni kwake.
Uongo uongo,
Chanjale seminari na Dido vilikuwepo zamani sana miaka ya 1984 wakati huo koda alikuwa seminari anasoma level ya chini kabisa.wakati huo askofu Josephati Lebulu ndiye alikuwa askofu na mwanzilishi wa hizi seminari jimboni same.Sina kumbu kumbu na hizo nyingine
Kwa mujibu wa Askofu Koda, mafanikio makubwa yaliyopatikana katika uongozi wake ni pamoja na kusomesha mapadri 34 nje ya nchi, 19 kwa ngazi ya Shahada za Uzamivu (PhD) ni baadhi ya mambo yaliyoibua mambo yote hayo.
Si kweli kwani ni kawaida ya majimbo kusomesha mapdri hata yeye Koda alisomeshwa na wengine wengi. hata hivyo haiongezi kitu sana ikizingatiwa kazi kubwa ni kumtumikia mungu na waumini kwa unyenyekevu sio cheo au dhamana. Mapadri wengi tanzania wana phd.
Hata hivyo, pamoja na vikwazo hivyo bado anayo mipango kabambe ya baadaye ili kulifanya jimbo hilo lifikie katika hali ya kujitegemea katika suala la rasilimali watu na kutoa mchango kwa Same na taifa kwa ujumla.
waumini hutoa sadaka na zaka, jimbo kuwa tajiri inatokana na vipato vya waumini na jinsi watakavyoitikia kutoa saka na zaka, ni kazi ya jimbo kupigia kelele uongozi wa kimaendeleo wa serikali ili kuwezesha wananchi wote kuwa na maisha dhabiti ya kujitegemea na kutokana na umasikini.
Alieleza kuwa mpango wake wa kuanzisha chuo Kikuu cha Ngalekeru katika Wilaya za Same na Mwanga uko katika hatua nzuri na Chuo Kikuu cha California nchini Marekani kimekubali kuanza ujenzi huo Septemba mwaka huu.
Askofu Koda alisema kuwa mpango mwingine wa kuanzisha hospitali kubwa ambayo ingekuwa na chuo cha madaktari wilayani Mwanga ambayo ingekuwa chini ya Hospitali ya Saint Raphael ya Milano nchini Italia.
“Mipango yote hii imeibua maswali yenye wivu kwamba hizo pesa zinatoka wapi,” alisema Askofu Koda bila kusema kama fedha hizo ndizo zinazodaiwa kutoka katika dini ya mashetani kama uvumi ulivyoenezwa.
Basi aseme vyanzo vya fedha, kwani Jimbo la same ni jimbo la wakatoliki wa jimbo la same miradi yote ya kanisa duniani kote vyanzo vya fedha vipo wazi na chanzo kikubwa ni michango ya waumini na kila muumini anajua kwamba sasa tunachangia hiki au kile na kama kuna misaada inatangazwa wazi na mapato yote ya jimbo yanayotokana na miradi ya jimbo huwekwa wazi. sasa Baba askofu Koda ana maswali ya kujibu hizo fedha anatoa wapi, hatari zaidi amehusishwa kwenye biashara ya drugs, na dini ya mashetani, sijui ushiriki wake unakuwaje hapa ila anatakiwa kutoa majibu sio kujitetea
Askofu huyo alisisitiza kuwa lengo lake ni kunyanyua jamii ya Upare hasa ikizingatiwa kuwa Upare ni pakavu, hivyo mchango wa shule na miradi mingine mikubwa ingesaidia kuleta mabadiliko ya kiuchumi.
Mwandishi wa Habari wa Idara ya mawasiliano ya Jimbo, Padri Joseph Mlacha alisema taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari imepotosha umma.
“Alichoondolewa Askofu ni Mamlaka ya Jimbo tu lazima ifahamike kuwa Uaskofu Sakramenti daraja la tatu, huwa unadumu milele na ndio maana Askofu amewasiliana na wanasheria wake,” alisema.
Inakuwaje leo baba askofu Koda kwenda kwa mwanasheria ili aendelee kuwa askofu, haya sio mafundisho ya dini wala ya daraja la upadri na uaskofu, madaraja haya yanafundisha utii, kama wamekuona haufai ni haufai. Ni mafundisho ya kanisa kuwa likifungiwa duniani na mbinguni ni hivyo hivyo hakuna rufaa kwenye dini ndio maana hata maungamo hayana rufaa inaaminika ni kufunguliwa mbinguni. Sasa baba askofu umeonekana hufai kulea kondoo wa bwana ila nawe unatakiwa kulelewa, hata yesu alichukua baadhi kufuga kondoo wake hakuchukuwa wote, hata hivyo kati ya wale kumi na wawili mmoja alitemwa Yuda ambaye tamaa ilimtawala, usiogope tukae wite kwenye bench nasi tupokee somo ili tufike mbinguni juu kwa baba huko hakuna askofu wala padri hakuna tajiri wala masikini kila kitu ni mswano.
Pamoja na haya yote ulileta mshangao mkubwa sana pale ulipotangazwa kuwa wewe ni askofu mwaka 1999, nilistaajabu na sikuchelea kuamini kuwa hizi ni mbio za sakafuni. Kumbuka ulivyokuwa seminari, na kumbuka ulivyokuwa padri je uliwacha yale yote, inawezekana uliendeleza, nakushauri usiendelee kupiga kelele kwani yakiwekwa hadharani itakuwa mbaya sana. Nakutakia maisha mema ya kitume kwa ngazi yeyote ile.
__________________
Tanzania itakuwa huru wananchi wakimiliki nchi yao wenyewe sio baadhi ya wateule wachache.Haki na sheria kwa wote bila kujali rangi,cheo,na utajiri wa mtu.
The Following User Says Thank You to kinepi_nepi For This Useful Post:
Masanilo (7th June 2009)
#17 (permalink)
7th June 2009, 06:16 AM
Abdulhalim
Abdulhalim is the same voice of reason.
JF Senior Expert Member Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 3,701
Thanks: 82
Thanked 110 Times in 81 Posts
Rep Power: 29
Credits: 327,855
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Quote: kinepi_nepi
Pamoja na haya yote ulileta mshangao mkubwa sana pale ulipotangazwa kuwa wewe ni askofu mwaka 1999, nilistaajabu na sikuchelea kuamini kuwa hizi ni mbio za sakafuni. Kumbuka ulivyokuwa seminari, na kumbuka ulivyokuwa padri je uliwacha yale yote, inawezekana uliendeleza, nakushauri usiendelee kupiga kelele kwani yakiwekwa hadharani itakuwa mbaya sana. Nakutakia maisha mema ya kitume kwa ngazi yeyote ile.
ololololol...mazee inaonekana nyie ni waarabu wa Pemba.. sasa kwa nini mkuu na wewe usimwage ugali, maana baba askofu kesha mwaga mboga. Si unajua hapa ni JF where we dare to talk sense OPENLY..?
__________________
Why they don't get a ni99a like me to sing the national anthem?
#18 (permalink)
7th June 2009, 08:25 PM
Ndahani
Ndahani has no status.
Senior Member Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 219
Thanks: 14
Thanked 72 Times in 52 Posts
Rep Power: 22
Credits: 705,165
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Quote: Next Level
TEC lazima watakuwa wanajua in and out ya issue hii, haiwezekani huo ukikwaji ukawa noted Vatican wakati hapa kuna Cardinal Pengo ambaye ndio mkuu wa RC hapa Tz....so kama askofu Koda anatatizo, basi itakuwa ni mkuu wake kamrepoti kwa papa na si vinginevyo!
Kama ile habari ya mwananchi la leo iko sahihi, sidhani ni Cardinal ndo aliyemripoti.Itakuwa ni huko huko same maana wanahisi ni freemason member. Ninachohisi, kuna makubwa zaidi yapo yafichwafichwa. Time will tell
#19 (permalink)
7th June 2009, 08:30 PM
Ndahani
Ndahani has no status.
Senior Member Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 219
Thanks: 14
Thanked 72 Times in 52 Posts
Rep Power: 22
Credits: 705,165
Re: Vatican yamvua jimbo Askofu
________________________________________
Quote: kinepi_nepi
Pamoja na haya yote ulileta mshangao mkubwa sana pale ulipotangazwa kuwa wewe ni askofu mwaka 1999, nilistaajabu na sikuchelea kuamini kuwa hizi ni mbio za sakafuni. Kumbuka ulivyokuwa seminari, na kumbuka ulivyokuwa padri je uliwacha yale yote, inawezekana uliendeleza, nakushauri usiendelee kupiga kelele kwani yakiwekwa hadharani itakuwa mbaya sana. Nakutakia maisha mema ya kitume kwa ngazi yeyote ile.
Yapi hayo mkuu tuhabarishe...Kuna habari kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa kanisa katoliki TZ, kuna freemasons.Is it one of them
Saturday, 6 June 2009

----------------------------------------------------------------------------
HABARI KUTOKA VATICAN
Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Vatican nchini Italia yamemnyang’anya Jimbo, Askofu wa Same, Jacob Koda, baada ya kubainika kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa hilo. Balozi wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Joseph Chennoth alithibitisha Dar es Salaam jana kuwa Askofu Koda ametakiwa na kanisa kuacha utume huo mara moja na kupumzika ama kufanya shughuli binafsi za mafunzo.
Hata hivyo, Balozi huyo wa Papa hakufafanua zaidi kiini cha kuondolewa kwa Askofu Koda na ni mafundisho gani ya kanisa aliyokiuka, ingawa taarifa kutoka Same zilizolifikia gazeti hili jana zilidai kuwa amejiingiza katika mafundisho yaliyo kinyume cha imani ya Kikristo na ya Kanisa Katoliki.
Sambamba na kuondolewa Askofu Koda katika jimbo hilo lililoko mkoani Kilimanjaro, pia taarifa ya Askofu Mkuu Chennoth kwa vyombo vya habari jana ilieleza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo kuwa Msimamizi wa Kitume wa jimbo hilo hadi hapo litakapopata askofu mwingine.
Padri Kimaryo kabla ya uteuzi huo alikuwa Paroko wa Parokia ya Kipawa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. “Tumemshauri kuondoka jimboni na Padri Kimaryo ataongoza jimbo hilo kwa muda mpaka hapo Baba Mtakatifu atakapomteua askofu mpya,” alisema Askofu Mkuu Chennoth.
Aidha, taarifa hiyo ya Ubalozi wa Vatican hapa nchini kwa vyombo vya habari iliyotolewa kwa gazeti hili na Katibu Mtendaji wa Habari wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Revocatus Makonge, ilithibitisha uteuzi wa Padri Kimaryo katika jimbo hilo la Same.
“Mwakilishi wa Baba Mtakatifu hapa nchini anayo heshima kutangaza kuwa Baba Mtakatifu Benedicto wa XVI amemteua Padri Rogath Kimaryo (CSSP) ambaye ni Paroko wa Kipawa, Dar es Salaam kuwa Msimamizi wa Kitume mwenye mamlaka kamili na chini ya utii kwa kiti kitakatifu wa Jimbo Katoliki la Same,” ilieleza taarifa hiyo iliyotolewa Mei 30, mwaka huu. Hata hivyo, Padri Makonge alisema TEC haina taarifa zozote za kina kuhusu suala hilo na kueleza kuwa wanachofahamu ni uteuzi wa Padri Kimaryo kupitia taarifa hiyo ya Mwakilishi wa Papa nchini.
Taarifa zaidi kutoka katika ofisi za Ubalozi wa Vatican Dar es Salaam zilieleza kuwa Padri Kimaryo atakabidhiwa jimbo hilo kwa usimamizi rasmi kesho katika Ibada ya Misa itakayoongozwa na Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika Kanisa Kuu la Same na kuhudhuriwa na viongozi kadhaa wa kanisa hilo akiwamo Askofu Mkuu Chennoth.
Bila kufafanua zaidi, Askofu Mkuu Chennoth alisema Kanisa Katoliki huwa lina utaratibu wa kumteua Msimamizi wa Jimbo linapotokea hitaji kama hilo hivyo ni kitu cha kawaida ndani ya kanisa pindi panapoonekana umuhimu wa kufanya hivyo.
Askofu Koda aliteuliwa na Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa II kuwa Askofu Mpya wa Same Septemba 1999 kuchukua nafasi ya Askofu Josephat Lebulu aliyehamishiwa katika Jimbo Kuu la Arusha.
Padri Kimaryo ambaye ni Padri wa Shirika la Roho Mtakatifu alitunukiwa Udaktari wa Sheria nchini Roma katika Chuo Kikuu cha Pontifical Gregorian na pia amefanya kazi ya kitume kama mshauri kwa miaka sita katika nyumba yao ya shirika nchini humo.
Kwa utaratibu wa Kanisa Katoliki, Papa humteua Msimamizi wa Jimbo ambaye kikanisa ni kama Mtawala ambaye hufanya kazi hiyo, mara kadhaa hutumikia katika eneo ambalo halijapewa hadhi ya Jimbo au katika Jimbo lisilo na Askofu au tatizo kama lililotokea. Katika sheria za kanisa (Canon Law), utawala wa aina hiyo unampa mamlaka mtawala kufanya kazi zote za kiaskofu isipokuwa kuuza mali yoyote ya jimbo na kutoa daraja la upadrisho.
Source: Habari Leo
Kwa wanaojua Askofu Koda ni mafundisho gani ya kanisa aliyokiuka ? TAFADHARI WATUME KWA WEBSITE AUTHOR
Thursday, 21 May 2009

GOD WILL CATCH YOU
There is no one like the God of Israel. He rides across the heavens to help you, across the skies in majestic splendor. The eternal God is your refuge, and his everlasting arms are under you. ~~ Deuteronomy 33:26-27
When you are at the end of your rope, God is there to catch you—but not before. ~~ Erwin W. Lutzer
LORD, there is no one like you! You ride across the heavens in majestic splendor to help us when we cry out to you. May we experience you today as our refuge and sense your everlasting arms of protection and love holding us. I praise you for your faithfulness and unparalleled power!
Friday, 15 May 2009
HABARI ZA KUSIKITISHA SANA JUU YA CONDOMS
ONLY RECENTLY IT HAS BEEN REPORTED IN VARIOUS NEWS PAPER ON LAUNCHING THE NEW TECHNOLOGY ON ATM FOR CONDOM SUPPLYING AND IT IS 24 HRS SERVICES. have SUCCESSFULLY MANAGED TO CAPTURE ONE OF THE ATM CONDOM IN THE NEWS PAPERS WEBSITE OF TANZANIA AND YOU CAN SEE IT BELOW
THANK YOU VISITORS, IT IS VERY VERY PAINFUL FOR THE COUNTRY LIKE TANZANIA TO LAUNCH THE ATM SERVICE FOR CONDOMS. WHAT ARE OUR CHILDREN LEARNING WHEN SUCH SERIOUS IMMORAL BEHAVIOUR OF SUPPLYING THE CONDOMS BY THE PSI? WHO IS LIABLE AND WHO IS NEGLIGENT? WHAT DO WE LEARN FROM OTHER COUNTRY LIKE UGANDA WHO HAS MANAGED TO LOWER DOWN THE SPREAD OF H.V.V EVEN THOUGH THEY DISCOURAGE THE USE OF CONDOMS? IF THE ANSWER IS YES THERE ARE ALOT OF ISSUES TO CONSIDER AS FOLLOWS
1. DO OUR CHILDREN KNOW WHAT IS GOING ON ON ATM MACHINE AND ARE THEY NOT CAPABLE OF USING THEM, THE ANSWER IS VERY SIMPLE THEY KNOW ARE VERY MUCH AFFECTED FOR THEIR FUTURE PLANNING BECAUSE WHEN THEY GROW UP THE IDEAS OF USING CONDOM BECOMES VERY MUCH VOCAL AND THE COUNTRY CAN NOT SEE THIS FOR FUTURE GENERATION IN SUSTAINABLE DEVELOPMENT, IT DOES NOT THINK THAT THE PRESENT GENERATION SHOULD BE SUSTAINED AND USE MORAL WAYS SO THAT THE FUTURE GENERATION DOES NOT EMIT ATE ANY IMMORAL BEHAVIOUR
2.THE GOVERNMENT OF TANZANIA HAS SEEN THIS AND KNOWS ITS EFFECT IN THE GIANT NATIONAL LIKE TANZANIA BUT BECAUSE SUCH SERVICES IS COSPONSORED BY THE WESTERN COUNTRY IN EURO AND AMERICA IT HAS THOUGHT THAT FAILURE TO OBEY THE ORDER WILL LEAD TO STOPPAGE OF AID BUT THIS IS STUPIDITY IT SHOWS THAT EVEN IF WE SHALL BE GIVEN POISON BY THE WESTERN RICH COUNTRY WE CAN PUT INTO MOTION ALOT OF IMMORAL BEHAVIOUR IN OUR COUNTRY AND THIS SHALL AFFECT THE FUTURE GENERATION ARE EXISTING BECAUSE OF MONEY OR BLESSINGS FROM THE GOD? THE ANSWER IS NO.
I THE WEBSITE OWNER I JOIN WITH OTHER CHRISTIAN IN DENOUNCING THIS IMMORAL BEHAVIOUR AND ENCOURAGING EXAMPLE FROM UGANDA
3. DOES THE GOVERNMENT BELIEVES IF GOD IS PRESENT THE ANSWER IS NO BECAUSE VARIOUS CAMPAIGNS HAS BEEN ENCOURAGING THE TANZANIA'S TO USE CONDOM IS LIKE ENCOURAGING THE TANZANIA TO BRAE THE SIXTH COMMANDMENT OF OUR ALMIGHTY GOD THIS IS THE DIRECT WAY OF KNOWING THAT TANZANIA DOES NOT BELIEVE IF GOD IS PRESENT OR NOT.
OTHERWISE YOU HAS THGE ENQURIES FOR YOU VISITOR I SHALL END FOR NOW ALSO IN ANOTHER PICTUR THE CONDOMS WHERE FOUND BARELY AROUND THE CROWDED STREET IN DAR ES SAAM TANZANIA AS REPORTED BY TANZANIANS JOURNALIST IN TANZANIAN NEWS PAPERS
ONLY RECENTLY IT HAS BEEN REPORTED IN VARIOUS NEWS PAPER ON LAUNCHING THE NEW TECHNOLOGY ON ATM FOR CONDOM SUPPLYING AND IT IS 24 HRS SERVICES. have SUCCESSFULLY MANAGED TO CAPTURE ONE OF THE ATM CONDOM IN THE NEWS PAPERS WEBSITE OF TANZANIA AND YOU CAN SEE IT BELOW
THANK YOU VISITORS, IT IS VERY VERY PAINFUL FOR THE COUNTRY LIKE TANZANIA TO LAUNCH THE ATM SERVICE FOR CONDOMS. WHAT ARE OUR CHILDREN LEARNING WHEN SUCH SERIOUS IMMORAL BEHAVIOUR OF SUPPLYING THE CONDOMS BY THE PSI? WHO IS LIABLE AND WHO IS NEGLIGENT? WHAT DO WE LEARN FROM OTHER COUNTRY LIKE UGANDA WHO HAS MANAGED TO LOWER DOWN THE SPREAD OF H.V.V EVEN THOUGH THEY DISCOURAGE THE USE OF CONDOMS? IF THE ANSWER IS YES THERE ARE ALOT OF ISSUES TO CONSIDER AS FOLLOWS
1. DO OUR CHILDREN KNOW WHAT IS GOING ON ON ATM MACHINE AND ARE THEY NOT CAPABLE OF USING THEM, THE ANSWER IS VERY SIMPLE THEY KNOW ARE VERY MUCH AFFECTED FOR THEIR FUTURE PLANNING BECAUSE WHEN THEY GROW UP THE IDEAS OF USING CONDOM BECOMES VERY MUCH VOCAL AND THE COUNTRY CAN NOT SEE THIS FOR FUTURE GENERATION IN SUSTAINABLE DEVELOPMENT, IT DOES NOT THINK THAT THE PRESENT GENERATION SHOULD BE SUSTAINED AND USE MORAL WAYS SO THAT THE FUTURE GENERATION DOES NOT EMIT ATE ANY IMMORAL BEHAVIOUR
2.THE GOVERNMENT OF TANZANIA HAS SEEN THIS AND KNOWS ITS EFFECT IN THE GIANT NATIONAL LIKE TANZANIA BUT BECAUSE SUCH SERVICES IS COSPONSORED BY THE WESTERN COUNTRY IN EURO AND AMERICA IT HAS THOUGHT THAT FAILURE TO OBEY THE ORDER WILL LEAD TO STOPPAGE OF AID BUT THIS IS STUPIDITY IT SHOWS THAT EVEN IF WE SHALL BE GIVEN POISON BY THE WESTERN RICH COUNTRY WE CAN PUT INTO MOTION ALOT OF IMMORAL BEHAVIOUR IN OUR COUNTRY AND THIS SHALL AFFECT THE FUTURE GENERATION ARE EXISTING BECAUSE OF MONEY OR BLESSINGS FROM THE GOD? THE ANSWER IS NO.
I THE WEBSITE OWNER I JOIN WITH OTHER CHRISTIAN IN DENOUNCING THIS IMMORAL BEHAVIOUR AND ENCOURAGING EXAMPLE FROM UGANDA
3. DOES THE GOVERNMENT BELIEVES IF GOD IS PRESENT THE ANSWER IS NO BECAUSE VARIOUS CAMPAIGNS HAS BEEN ENCOURAGING THE TANZANIA'S TO USE CONDOM IS LIKE ENCOURAGING THE TANZANIA TO BRAE THE SIXTH COMMANDMENT OF OUR ALMIGHTY GOD THIS IS THE DIRECT WAY OF KNOWING THAT TANZANIA DOES NOT BELIEVE IF GOD IS PRESENT OR NOT.
OTHERWISE YOU HAS THGE ENQURIES FOR YOU VISITOR I SHALL END FOR NOW ALSO IN ANOTHER PICTUR THE CONDOMS WHERE FOUND BARELY AROUND THE CROWDED STREET IN DAR ES SAAM TANZANIA AS REPORTED BY TANZANIANS JOURNALIST IN TANZANIAN NEWS PAPERS
Tuesday, 12 May 2009
mwanasherialubus.blogspot.com
The land of Israel
O my people, I will open your graves of exile and cause you to rise again. Then I will bring you back to the land of Israel. Ezekiel 37:12
Birth of a Nation
In 63 B.C. the Roman armies invaded the land of Israel and made it part of the Roman Empire. Then Jesus came, and in response to the Jews' rejection of him as their Messiah, he predicted that the Jewish temple would be completely destroyed (Luke 21:6), a prediction fulfilled in A.D. 70. After a second revolt in A.D. 135, no Jews lived in Jerusalem, and they became scattered through the world.
Then in the late 1800s, in response to anti-Semitism, particularly in eastern Europe, a Jewish movement called Zionism arose. In 1917 in an attempt to win Jewish support for World War I, England issued the Balfour Declaration, supporting the creation "in Palestine of a national home for the Jewish people."
Following War World II, Britain turned the matter of a Jewish state to the newly created U.N., which voted on November 29, 1947 to endorse a plan to create separate Jewish and Arab states, with Jerusalem as an international zone.
The British Mandate was scheduled to end on May 15, 1948, at which time their troops would begin leaving. The day before, a historic meeting was held in Tel Aviv. At exactly 4:00 p.m. the meeting was called to order by David Ben-Gurion. The audience rose and sang "Hatikvah," the Jewish national anthem. Then Ben-Gurion read in Hebrew Israel's Declaration of Independence. Everyone in the audience stood to their feet and applauded, many with tears streaming down their faces. For the first time in two thousand years there was an independent Jewish state of Israel.
The very existence of present-day Israel is a reminder to us of God's faithfulness in keeping his promises. (Ezekiel 37:1-13)
O my people, I will open your graves of exile and cause you to rise again. Then I will bring you back to the land of Israel. Ezekiel 37:12
Birth of a Nation
In 63 B.C. the Roman armies invaded the land of Israel and made it part of the Roman Empire. Then Jesus came, and in response to the Jews' rejection of him as their Messiah, he predicted that the Jewish temple would be completely destroyed (Luke 21:6), a prediction fulfilled in A.D. 70. After a second revolt in A.D. 135, no Jews lived in Jerusalem, and they became scattered through the world.
Then in the late 1800s, in response to anti-Semitism, particularly in eastern Europe, a Jewish movement called Zionism arose. In 1917 in an attempt to win Jewish support for World War I, England issued the Balfour Declaration, supporting the creation "in Palestine of a national home for the Jewish people."
Following War World II, Britain turned the matter of a Jewish state to the newly created U.N., which voted on November 29, 1947 to endorse a plan to create separate Jewish and Arab states, with Jerusalem as an international zone.
The British Mandate was scheduled to end on May 15, 1948, at which time their troops would begin leaving. The day before, a historic meeting was held in Tel Aviv. At exactly 4:00 p.m. the meeting was called to order by David Ben-Gurion. The audience rose and sang "Hatikvah," the Jewish national anthem. Then Ben-Gurion read in Hebrew Israel's Declaration of Independence. Everyone in the audience stood to their feet and applauded, many with tears streaming down their faces. For the first time in two thousand years there was an independent Jewish state of Israel.
The very existence of present-day Israel is a reminder to us of God's faithfulness in keeping his promises. (Ezekiel 37:1-13)
Sunday, 10 May 2009
SEEING THE DIFFERENCE COMPILED BY JAMES LUBUS FROM TANZANIA
If you listen to these commands of the Lord your God and carefully obey them, the Lord will make you the head and not the tail, and you will always have the upper hand. You must not turn away from any of the commands I am giving you today not to follow after other gods and worship them. Deuteronomy 28:13-14In darkness there is no choice. It is light that enables us to see the differences between things; and it is Christ who gives us light. Augustus Hare (1792-1834)The head and not the tailWhen reading Deuteronomy 28, it is pleasant to focus on the blessings in Moses' message, yet we cannot avoid the fact that there were two sides to this oracle. Blessings would rain on the children of Israel as a result of their obedience, but harsh consequences awaited those who served other gods.…When the children of Israel turned from God, they would return to him only when they realized that they had placed themselves under the yoke of a far less benevolent master. Therein lies the curse—willingly abandoning a loving God to follow one whose intent is not to bless but to destroy. God still longs to bless us, but there is another who prowls about seeking to destroy those who are precious to God. Choose today to serve the God who longs to make you the head and the not the tail
MERCY IN SPITE OF WICKEDNESS
You will know I am the Lord, O people of Israel, when I have honored my name by treating you mercifully in spite of your wickedness, says the Sovereign Lord. Ezekiel 20:44
God the Redeemer
Have you ever given God reason to be angry with you? Compare your sins with the sins of Israel. As you read through the Old Testament, you discover the truth that seems to shock most people: At no time in Israel's history did they ever remain faithful to God. Of course, there were periods of collective obedience.…But as soon as the blessings flowed, their hearts wandered, and once again they fell into their evil ways. Their lives were steeped in a constant pattern of rebellion and unfaithful living.
Ezekiel records just one of the many times God responded to Israel's unfaithfulness. God says to them, "In this also your fathers blasphemed me by forsaking me.…You continue to defile yourselves with all your idols to this day.…You say, 'We want to be like the nations, like the peoples of the world, who serve wood and stone.'.…As I judged your fathers in the desert of the land of Egypt, so I will judge you, declares the Sovereign Lord" (Ezekiel 20:27, 31-36).
Once again Israel had provoked the wrath of God, and now they sat awaiting his judgment. If there was ever a time that Israel deserved to be wiped from the face of the planet, it was this moment. Now their sentence was at hand. Hold on to your chairs because here comes the gavel!
"You will know that I am the Lord, when I deal with you for my name's sake and not according to your evil ways and your corrupt practices" (Ezekiel 20:44, NIV).
And what is God's name? Redeemer. Deliverer. Savior. What is the judgment he hands down?
He plans to redeem them. Again. He deals with them according to his goodness, not their evil. He forgives them. Not because they deserve it but because it is God's nature to forgive.James LUBUS nowadays has accepted the presence of GOD AS OUR HOST IN BOTH HEAVEN AND THIS WORLD
If you listen to these commands of the Lord your God and carefully obey them, the Lord will make you the head and not the tail, and you will always have the upper hand. You must not turn away from any of the commands I am giving you today not to follow after other gods and worship them. Deuteronomy 28:13-14In darkness there is no choice. It is light that enables us to see the differences between things; and it is Christ who gives us light. Augustus Hare (1792-1834)The head and not the tailWhen reading Deuteronomy 28, it is pleasant to focus on the blessings in Moses' message, yet we cannot avoid the fact that there were two sides to this oracle. Blessings would rain on the children of Israel as a result of their obedience, but harsh consequences awaited those who served other gods.…When the children of Israel turned from God, they would return to him only when they realized that they had placed themselves under the yoke of a far less benevolent master. Therein lies the curse—willingly abandoning a loving God to follow one whose intent is not to bless but to destroy. God still longs to bless us, but there is another who prowls about seeking to destroy those who are precious to God. Choose today to serve the God who longs to make you the head and the not the tail
MERCY IN SPITE OF WICKEDNESS
You will know I am the Lord, O people of Israel, when I have honored my name by treating you mercifully in spite of your wickedness, says the Sovereign Lord. Ezekiel 20:44
God the Redeemer
Have you ever given God reason to be angry with you? Compare your sins with the sins of Israel. As you read through the Old Testament, you discover the truth that seems to shock most people: At no time in Israel's history did they ever remain faithful to God. Of course, there were periods of collective obedience.…But as soon as the blessings flowed, their hearts wandered, and once again they fell into their evil ways. Their lives were steeped in a constant pattern of rebellion and unfaithful living.
Ezekiel records just one of the many times God responded to Israel's unfaithfulness. God says to them, "In this also your fathers blasphemed me by forsaking me.…You continue to defile yourselves with all your idols to this day.…You say, 'We want to be like the nations, like the peoples of the world, who serve wood and stone.'.…As I judged your fathers in the desert of the land of Egypt, so I will judge you, declares the Sovereign Lord" (Ezekiel 20:27, 31-36).
Once again Israel had provoked the wrath of God, and now they sat awaiting his judgment. If there was ever a time that Israel deserved to be wiped from the face of the planet, it was this moment. Now their sentence was at hand. Hold on to your chairs because here comes the gavel!
"You will know that I am the Lord, when I deal with you for my name's sake and not according to your evil ways and your corrupt practices" (Ezekiel 20:44, NIV).
And what is God's name? Redeemer. Deliverer. Savior. What is the judgment he hands down?
He plans to redeem them. Again. He deals with them according to his goodness, not their evil. He forgives them. Not because they deserve it but because it is God's nature to forgive.James LUBUS nowadays has accepted the presence of GOD AS OUR HOST IN BOTH HEAVEN AND THIS WORLD
Monday, 4 May 2009
POA LEO NINAWAPELEKA MOJA KWA MoJA KWENYE BLOG YA issamichuzi.blogspot.com KARIBUNI TENA KWENYE WEBSITE YANGU
Friday, 1 May 2009
Luke 5:1-11
Jesus Calls the First Disciples(Mt 4.18—22; Mk 1.16—20)
Once while Jesus was standing beside the lake of Gennesaret, and the crowd was pressing in on him to hear the word of God, he saw two boats there at the shore of the lake; the fishermen had gone out of them and were washing their nets. He got into one of the boats, the one belonging to Simon, and asked him to put out a little way from the shore. Then he sat down and taught the crowds from the boat. When he had finished speaking, he said to Simon, “Put out into the deep water and let down your nets for a catch.”
Simon answered, “Master, we have worked all night long but have caught nothing. Yet if you say so, I will let down the nets.” When they had done this, they caught so many fish that their nets were beginning to break. So they signaled their partners in the other boat to come and help them. And they came and filled both boats, so that they began to sink. But when Simon Peter saw it, he fell down at Jesus’ knees, saying, “Go away from me, Lord, for I am a sinful man!” For he and all who were with him were amazed at the catch of fish that they had taken; and so also were James and John, sons of Zebedee, who were partners with Simon.
Then Jesus said to Simon, “Do not be afraid; from now on you will be catching people.” When they had brought their boats to shore, they left everything and followed him.
Posted by Cindy Bauer at 6:29 AM 0 comments
Daily Devotion
What influence did your father have in your life?
I have singled him out so that he will direct his sons and their families to keep the way of the Lord and do what is right and just. Genesis 18:19
Soaking up Dad
We teach our children even when we don't think school is in session. Too often we think our lessons are the sit-down kind, the planned-out kind. But our lessons are also how we react as a Little League coach when the ump blows a call, and how we treat our wives after we've both had rugged days at work., and what we say when we see a homeless man on the street.
Sometimes our lessons are good ones. I hope my sons—without me saying a word—have become more color-blind by our attending a church with a black pastor and linking arms with a black ministry in rural Mississippi.
Sometimes my lessons are the wrong kinds. As a boy, what hurt so deeply was to hear my mother and father fight; though it wasn't a common scene, the most perfect day could turn blustery cold when their relationship iced up. Without intending it to, I've taught a few similarly chilly lessons to my own sons.
Our children are sponges, quietly soaking up all we say and do.
Posted by Cindy Bauer at 6:27 AM 0 comments
Wednesday, April 29, 2009
Daily Bible Reading (beliefnet.com)
Daniel 5:1-12
Belshazzar's Feast
King Belshazzar made a great festival for a thousand of his lords, and he was drinking wine in the presence of the thousand.
Under the influence of the wine, Belshazzar commanded that they bring in the vessels of gold and silver that his father Nebuchadnezzar had taken out of the temple in Jerusalem, so that the king and his lords, his wives, and his concubines might drink from them. So they brought in the vessels of gold and silver that had been taken out of the temple, the house of God in Jerusalem, and the king and his lords, his wives, and his concubines drank from them. They drank the wine and praised the gods of gold and silver, bronze, iron, wood, and stone.
The Writing on the Wall
Immediately the fingers of a human hand appeared and began writing on the plaster of the wall of the royal palace, next to the lamp stand. The king was watching the hand as it wrote. Then the king's face turned pale, and his thoughts terrified him. His limbs gave way, and his knees knocked together. The king cried aloud to bring in the enchanters, the Chaldeans, and the diviners; and the king said to the wise men of Babylon, “Whoever can read this writing and tell me its interpretation shall be clothed in purple, have a chain of gold around his neck, and rank third in the kingdom.” Then all the king's wise men came in, but they could not read the writing or tell the king the interpretation. Then King Belshazzar became greatly terrified and his face turned pale, and his lords were perplexed.
The queen, when she heard the discussion of the king and his lords, came into the banqueting hall. The queen said, “O king, live forever! Do not let your thoughts terrify you or your face grow pale. There is a man in your kingdom who is endowed with a spirit of the holy gods. In the days of your father he was found to have enlightenment, understanding, and wisdom like the wisdom of the gods. Your father, King Nebuchadnezzar, made him chief of the magicians, enchanters, Chaldeans, and diviners, because an excellent spirit, knowledge, and understanding to interpret dreams, explain riddles, and solve problems were found in this Daniel, whom the king named Belteshazzar. Now let Daniel be called, and he will give the interpretation.”
Posted by james lubus 9:08 AM 0 comments
Daily Devotion
A cheerful spirit
For the poor, every day brings trouble; for the happy heart, life is a continual feast. Proverbs 15:15
When I think of God, my heart is so full of joy that the notes leap and dance as they leave my pen; and since God has given me a cheerful heart, I serve Him with a cheerful spirit. Franz Joseph Haydn (1732-1809)
A happy heart
A person's heart is a major concern of the Lord. God's Word tells us that he doesn't look at the things people look at. We look at the outward appearance, but the Lord looks at the heart; that is, our "thoughts and intentions" (1 Samuel 16:7).
Today's verse tells us that a happy, or cheerful, heart make life "a continual feast." How do we obtain—and maintain—this happy heart? There are many clues throughout the book of Proverbs. We should not let our hearts be anxious or proud because anxiety and pride are deterrents to a cheerful heart (Proverbs 12:25; 16:5).
Instead, God calls us to have pure hearts and to keep them on the right path (Proverbs 22:11; 23:19).
These are positive steps to achieving a happy heart because when we are being obedient to God's Word and experiencing his smile of approval, our hearts will be lighter, even in difficult times. The Bibles gives us many other instructions about how to have "healthy" hearts, but a good place to start is to embrace the truth of Proverbs 15:15 and ask God to show us how to develop hearts that are happy, no matter what challenges we are facing.
FATHER, help me to have a happy heart. Remove the anxiety that sometimes weighs my heart down. Keep my heart from growing proud. Instead, give me a pure heart—a heart that is pleasing to you. Help me to hide your Word in my heart so that I can walk in your ways and enjoy life that is a continual feast.
james lubus
Tuesday, April 28, 2009
As bright as the sky
Those who are wise will shine as bright as the sky, and those who turn many to righteousness will shine like stars forever. Daniel 12:3
Eternity to the godly is a day that has no sunset. Thomas Watson
Deepen your shine
People spend thousands of dollars to last longer— exercise, cosmetics, plastic surgery, self-help advice, nutrition plans. We like life, and we want it to last, not just in some ethereal, nondescript expectation of a life hereafter, but in a real, fulfilling, purposeful eternity. We don't just want "forever." We want to know we will enjoy it.
Daniel is told what makes or breaks eternity in the resurrection: righteousness. Loving it, drinking it in, leading others to it, investing in it. Righteousness is the key. The quality of our righteousness on earth has everything to do with the quality of our eternity.
Those who are wise also know that there's a problem. We are inherently unrighteous. An eternity based on earthly righteousness is a devastating predicament for people who are, in their very genetics, infected with corruption. Are there any who can really lead others to righteousness? Will any shine like the brightness of the heavens? Or is the promise empty?
Righteousness is a gift from a holy heaven to an infected race. It comes from outside ourselves, available only through faith in its Giver. Those who are wise will tell others about this gift. Those who want to shine will know the Source of the light and will be completely preoccupied with Him.
Evangelism is one way to make an investment that never, ever ceases to bring abundant returns. God promises that sharing the Light with others will forever deepen your own shine.
Posted by james lubus at 7:17 AM 0 comments
Monday, April 27, 2009
Formed and reformed
I was appointed in ages past, at the very first, before the earth began. Proverbs 8:23
Lord my God, You have formed and reformed me. Anselm
Sin and assurance
Our human pride often reverses the order of things. We think God came into our lives rather late. Our identity was firmly established, and then He invited Himself in, trying to woo us into a relationship with Him. We were in control of the heart that opened up to Him. Or so we thought.
In spite of our sense of independence, God has a prior claim on us. He created the world that became our necessary environment. He began the genetic process that eventually resulted in our birth. He even fashioned us in the womb (Jeremiah 1:5; Psalm 139:13). He is no late-coming Redeemer. He and His wisdom have been there all along.
This is extremely important to know when it seems as if your life is falling apart. It isn't. The life you have constructed may be falling apart, but the life God has fashioned is not. His wisdom has known all things before the foundations of the world— including you. If God has let you be undone, He has allowed it for a reason. He is bringing you to the end of your sinful self and to the beginning of life in His secure arms. God is bringing you home.
Do you realize how thoroughly rooted in eternity your life is? It was not an afterthought in the mind of a play-it-by-ear God. Did you think your sin was a surprise to Him? It wasn't. He has already made provision for it. Before the foundation of the world, He did at least two things: He brought forth His wisdom; and He thought of you (Ephesians 1:4). His wisdom and your existence went hand in hand. Does that boggle your mind? It should. Rest in the assurance of a forever-wise God.
Posted by james lubus at 5:53 AM 0 comments
Sunday, April 26, 2009
What we owe God
The strength of a horse does not impress him; how puny in his sight is the strength of man. Rather, the Lord's delight is in those who honor him, those who put their hope in his unfailing love. Psalm 147:10-11
God being who and what He is, and we being who and what we are, the only thinkable relation between us is one of full lordship on His part and complete submission on ours. We owe him every honor that it is in our power to give Him. A. W. Tozer (1897-1963)
What God delights in
In Psalm 147 we discover an important secret about relating to the Lord. Our great and mighty God, who has absolute power over everything in heaven and on earth, is not impressed with powerful people. Those who are strong and mighty in their own strength don't get God's attention. Instead, it is the brokenhearted and humble he notices and supports (vv. 3,6).
He chooses to work not through those who are strong but through those who are weak. And most of all, we don't earn his approval by being great or strong. He delights in those who reverently honor him and put their hope and trust in his unfailing love and mercy, not in their own ability. Today, if you've put your hope in anyone or anything else, ask the Lord to forgive you. But don't stop there. Ask his Spirit to so work in your life that your primary goal becomes honoring and pleasing God.
DEAR LORD, there have been times—even many—when I have relied on someone or something other than you. Forgive me.
Posted by Cindy Bauer at 7:33 PM 0 comments
Saturday, April 25, 2009
A radical break
You will show me the way of life, granting me the joy of your presence and the pleasures of living with you forever. Psalm 16:11
It takes a radical break to turn a man from earth's trash to heaven's treasure. Vance Havner
Slave to freedom
At age 16, I craved freedom. I dropped out of high school, got kicked out of my house, and began living for
Jesus Calls the First Disciples(Mt 4.18—22; Mk 1.16—20)
Once while Jesus was standing beside the lake of Gennesaret, and the crowd was pressing in on him to hear the word of God, he saw two boats there at the shore of the lake; the fishermen had gone out of them and were washing their nets. He got into one of the boats, the one belonging to Simon, and asked him to put out a little way from the shore. Then he sat down and taught the crowds from the boat. When he had finished speaking, he said to Simon, “Put out into the deep water and let down your nets for a catch.”
Simon answered, “Master, we have worked all night long but have caught nothing. Yet if you say so, I will let down the nets.” When they had done this, they caught so many fish that their nets were beginning to break. So they signaled their partners in the other boat to come and help them. And they came and filled both boats, so that they began to sink. But when Simon Peter saw it, he fell down at Jesus’ knees, saying, “Go away from me, Lord, for I am a sinful man!” For he and all who were with him were amazed at the catch of fish that they had taken; and so also were James and John, sons of Zebedee, who were partners with Simon.
Then Jesus said to Simon, “Do not be afraid; from now on you will be catching people.” When they had brought their boats to shore, they left everything and followed him.
Posted by Cindy Bauer at 6:29 AM 0 comments
Daily Devotion
What influence did your father have in your life?
I have singled him out so that he will direct his sons and their families to keep the way of the Lord and do what is right and just. Genesis 18:19
Soaking up Dad
We teach our children even when we don't think school is in session. Too often we think our lessons are the sit-down kind, the planned-out kind. But our lessons are also how we react as a Little League coach when the ump blows a call, and how we treat our wives after we've both had rugged days at work., and what we say when we see a homeless man on the street.
Sometimes our lessons are good ones. I hope my sons—without me saying a word—have become more color-blind by our attending a church with a black pastor and linking arms with a black ministry in rural Mississippi.
Sometimes my lessons are the wrong kinds. As a boy, what hurt so deeply was to hear my mother and father fight; though it wasn't a common scene, the most perfect day could turn blustery cold when their relationship iced up. Without intending it to, I've taught a few similarly chilly lessons to my own sons.
Our children are sponges, quietly soaking up all we say and do.
Posted by Cindy Bauer at 6:27 AM 0 comments
Wednesday, April 29, 2009
Daily Bible Reading (beliefnet.com)
Daniel 5:1-12
Belshazzar's Feast
King Belshazzar made a great festival for a thousand of his lords, and he was drinking wine in the presence of the thousand.
Under the influence of the wine, Belshazzar commanded that they bring in the vessels of gold and silver that his father Nebuchadnezzar had taken out of the temple in Jerusalem, so that the king and his lords, his wives, and his concubines might drink from them. So they brought in the vessels of gold and silver that had been taken out of the temple, the house of God in Jerusalem, and the king and his lords, his wives, and his concubines drank from them. They drank the wine and praised the gods of gold and silver, bronze, iron, wood, and stone.
The Writing on the Wall
Immediately the fingers of a human hand appeared and began writing on the plaster of the wall of the royal palace, next to the lamp stand. The king was watching the hand as it wrote. Then the king's face turned pale, and his thoughts terrified him. His limbs gave way, and his knees knocked together. The king cried aloud to bring in the enchanters, the Chaldeans, and the diviners; and the king said to the wise men of Babylon, “Whoever can read this writing and tell me its interpretation shall be clothed in purple, have a chain of gold around his neck, and rank third in the kingdom.” Then all the king's wise men came in, but they could not read the writing or tell the king the interpretation. Then King Belshazzar became greatly terrified and his face turned pale, and his lords were perplexed.
The queen, when she heard the discussion of the king and his lords, came into the banqueting hall. The queen said, “O king, live forever! Do not let your thoughts terrify you or your face grow pale. There is a man in your kingdom who is endowed with a spirit of the holy gods. In the days of your father he was found to have enlightenment, understanding, and wisdom like the wisdom of the gods. Your father, King Nebuchadnezzar, made him chief of the magicians, enchanters, Chaldeans, and diviners, because an excellent spirit, knowledge, and understanding to interpret dreams, explain riddles, and solve problems were found in this Daniel, whom the king named Belteshazzar. Now let Daniel be called, and he will give the interpretation.”
Posted by james lubus 9:08 AM 0 comments
Daily Devotion
A cheerful spirit
For the poor, every day brings trouble; for the happy heart, life is a continual feast. Proverbs 15:15
When I think of God, my heart is so full of joy that the notes leap and dance as they leave my pen; and since God has given me a cheerful heart, I serve Him with a cheerful spirit. Franz Joseph Haydn (1732-1809)
A happy heart
A person's heart is a major concern of the Lord. God's Word tells us that he doesn't look at the things people look at. We look at the outward appearance, but the Lord looks at the heart; that is, our "thoughts and intentions" (1 Samuel 16:7).
Today's verse tells us that a happy, or cheerful, heart make life "a continual feast." How do we obtain—and maintain—this happy heart? There are many clues throughout the book of Proverbs. We should not let our hearts be anxious or proud because anxiety and pride are deterrents to a cheerful heart (Proverbs 12:25; 16:5).
Instead, God calls us to have pure hearts and to keep them on the right path (Proverbs 22:11; 23:19).
These are positive steps to achieving a happy heart because when we are being obedient to God's Word and experiencing his smile of approval, our hearts will be lighter, even in difficult times. The Bibles gives us many other instructions about how to have "healthy" hearts, but a good place to start is to embrace the truth of Proverbs 15:15 and ask God to show us how to develop hearts that are happy, no matter what challenges we are facing.
FATHER, help me to have a happy heart. Remove the anxiety that sometimes weighs my heart down. Keep my heart from growing proud. Instead, give me a pure heart—a heart that is pleasing to you. Help me to hide your Word in my heart so that I can walk in your ways and enjoy life that is a continual feast.
james lubus
Tuesday, April 28, 2009
As bright as the sky
Those who are wise will shine as bright as the sky, and those who turn many to righteousness will shine like stars forever. Daniel 12:3
Eternity to the godly is a day that has no sunset. Thomas Watson
Deepen your shine
People spend thousands of dollars to last longer— exercise, cosmetics, plastic surgery, self-help advice, nutrition plans. We like life, and we want it to last, not just in some ethereal, nondescript expectation of a life hereafter, but in a real, fulfilling, purposeful eternity. We don't just want "forever." We want to know we will enjoy it.
Daniel is told what makes or breaks eternity in the resurrection: righteousness. Loving it, drinking it in, leading others to it, investing in it. Righteousness is the key. The quality of our righteousness on earth has everything to do with the quality of our eternity.
Those who are wise also know that there's a problem. We are inherently unrighteous. An eternity based on earthly righteousness is a devastating predicament for people who are, in their very genetics, infected with corruption. Are there any who can really lead others to righteousness? Will any shine like the brightness of the heavens? Or is the promise empty?
Righteousness is a gift from a holy heaven to an infected race. It comes from outside ourselves, available only through faith in its Giver. Those who are wise will tell others about this gift. Those who want to shine will know the Source of the light and will be completely preoccupied with Him.
Evangelism is one way to make an investment that never, ever ceases to bring abundant returns. God promises that sharing the Light with others will forever deepen your own shine.
Posted by james lubus at 7:17 AM 0 comments
Monday, April 27, 2009
Formed and reformed
I was appointed in ages past, at the very first, before the earth began. Proverbs 8:23
Lord my God, You have formed and reformed me. Anselm
Sin and assurance
Our human pride often reverses the order of things. We think God came into our lives rather late. Our identity was firmly established, and then He invited Himself in, trying to woo us into a relationship with Him. We were in control of the heart that opened up to Him. Or so we thought.
In spite of our sense of independence, God has a prior claim on us. He created the world that became our necessary environment. He began the genetic process that eventually resulted in our birth. He even fashioned us in the womb (Jeremiah 1:5; Psalm 139:13). He is no late-coming Redeemer. He and His wisdom have been there all along.
This is extremely important to know when it seems as if your life is falling apart. It isn't. The life you have constructed may be falling apart, but the life God has fashioned is not. His wisdom has known all things before the foundations of the world— including you. If God has let you be undone, He has allowed it for a reason. He is bringing you to the end of your sinful self and to the beginning of life in His secure arms. God is bringing you home.
Do you realize how thoroughly rooted in eternity your life is? It was not an afterthought in the mind of a play-it-by-ear God. Did you think your sin was a surprise to Him? It wasn't. He has already made provision for it. Before the foundation of the world, He did at least two things: He brought forth His wisdom; and He thought of you (Ephesians 1:4). His wisdom and your existence went hand in hand. Does that boggle your mind? It should. Rest in the assurance of a forever-wise God.
Posted by james lubus at 5:53 AM 0 comments
Sunday, April 26, 2009
What we owe God
The strength of a horse does not impress him; how puny in his sight is the strength of man. Rather, the Lord's delight is in those who honor him, those who put their hope in his unfailing love. Psalm 147:10-11
God being who and what He is, and we being who and what we are, the only thinkable relation between us is one of full lordship on His part and complete submission on ours. We owe him every honor that it is in our power to give Him. A. W. Tozer (1897-1963)
What God delights in
In Psalm 147 we discover an important secret about relating to the Lord. Our great and mighty God, who has absolute power over everything in heaven and on earth, is not impressed with powerful people. Those who are strong and mighty in their own strength don't get God's attention. Instead, it is the brokenhearted and humble he notices and supports (vv. 3,6).
He chooses to work not through those who are strong but through those who are weak. And most of all, we don't earn his approval by being great or strong. He delights in those who reverently honor him and put their hope and trust in his unfailing love and mercy, not in their own ability. Today, if you've put your hope in anyone or anything else, ask the Lord to forgive you. But don't stop there. Ask his Spirit to so work in your life that your primary goal becomes honoring and pleasing God.
DEAR LORD, there have been times—even many—when I have relied on someone or something other than you. Forgive me.
Posted by Cindy Bauer at 7:33 PM 0 comments
Saturday, April 25, 2009
A radical break
You will show me the way of life, granting me the joy of your presence and the pleasures of living with you forever. Psalm 16:11
It takes a radical break to turn a man from earth's trash to heaven's treasure. Vance Havner
Slave to freedom
At age 16, I craved freedom. I dropped out of high school, got kicked out of my house, and began living for
Subscribe to:
Posts (Atom)